Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli Wake, Hata Kama Uko Kinyume cha Katiba, Sera na Ilani?.

Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli, rais Magufuli atausema ukweli huo, bila kujali the consequences, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Pascal Mayalla Mkuu are you being sarcastic au ooopopopipo
 
Kuna tofauti kati ya UKWELI na kile mtu ANACHOAMINI. Nkiamini kitu siyo lazima kiwe KWELI. RAISI anatakiwa ahifadhi na kulinda katiba FULLSTOP, vinginevyo anzishe mchakato wa kubadilisha katiba kwa kufuata sheria, hata kama wengi wanamuunga mkono. Wastaraabu hufanya hivyo.
 
HII KATIBA YA SASA INAMPA KIBURI SANA RAIS ANAFANYA NA KUSEMA ANACHOAMINI YEYE WA CHINI YAKE WANA FUATA HATA KAMA CHA HOVYO HOVYO, CHA MSINGI TUPIGANIE KATIBA MPYA AU TUNASEMA YA WARIOBA,.
 
Sometimes huwaga nawazaga huyu mzee angepoteaga kama Ben Saanane

Tatizo mnapenda kusifiana tuuuu na kuungana tuuuu. Ila ntamusifia siku Tanzania ikiwa donor country, siku na sisi tugawe misaada, tupeleke mitumba ulaya, tuwe matajiri naingoja hiyo siku walah

Ila hizi porojo nyingine za Paschal Njaa ni useless na upumbavu
Hapana.
Kama humjui Paskali bora unyamaze tu.
Paskali ni our best. Just let him present his thought
 
Paskali ila moyoni unajua ukweli ni upi.. bunge limekuweza kweli na unawapatia kisawa sawa.. anza kusifia kila kitu hadi kikomba anachonywea chai.. tupo nyuma yako

soon ataanza kusifia hivyo vikombe,alishawahi kusema akienda nyumbani mwanza huwa anafikia kwa mkuu Rais,so akianza kusifia vikombe anavyonywea chai akiwa huko sitashangaa hahah
 
Mayalla hili andiko lako nimeliona linamwelekeo mbaya kabisa baada ya kukutana na maneno yafuatayo: " Rais Magufuli ni mpenda ukweli daima"
Do you mean it au ni ule mtindo wako wa chenga za Ronaldino kuziweka katika maandishi? maana swali muulize pembeni Majaliwa atakuambia NO!, muulize Polepole hadharani atasema ndio ila kona ni NO. Hata mitaani ni NO
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli, rais Magufuli atausema ukweli huo, bila kujali the consequences, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibi, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Rais Magufuli anapozungumzia Maoni yake kuhusu mambo anayoyaamini, haimaanishi kuwa anazungumzia kweli. Kweli ni kitu ingine tofauti na maoni.

Maoni au mawazo yake huweza kuwa kweli au so kweli inachotakiwa yaheshimiwe tu, na kufanyiwa kazi kama ayavunji sheria za Nchi na MIFUMO yake

Ukweli hauwezi kwenda kinyume na Katiba pamoja na sheria zingine za nchi, ndio maana hata Mahakamani ukizungumza uongo au kutoa ushahidi wa uongo utaadhibiwa na Mahakama.

Rais anatakiwa ajitambue yeye ni nani, na kiukweli anapaswa kuhakikisha kauli zake haziendi kinyume na Katiba, sheria, Sera za nchi na kanuni mbalimbali, ndio maana ana vyombo mbali mbali vya kumshauri masuala mbali mbali ya nchi na Kimataifa kabla ajayazungumza ktk hadhara tofauti tofauti.

Katiba, sheria mbali mbali , Sera na Mifumo ya nchi iko pale kumsaidia kuongoza, mawazo yake, misimamo yake ayapitishe katika vyombo vyake vya ushauri kwanza, ili isitofautiane na Katiba na sheria zake.

VINGINEVYO ATAONEKANA AMEPUNGUKIWA BUSARA NA HEKIMA, AMA HANA KABISA.

KATIBA NA MIFUMO NDIO INAONGOZA NCHI, NA SIO MTU NA MAONI YAKE....TUFUATE KATIBA NA SHERIA ZAKE PAMOJA NA SERA NA MIFUMO TULIYOKUBALIANA KUONGOZA NCHI.

KWELI INAKUWEKA HURU TU.
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Hongera Mkuu hapo kwenye mistari ya mwisho nimekupata vizuri. Nakupa like nyingi kaka.
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Ukweli hauwezi kuwa kwa MTU moja (subjective) ni lazima uwe umepimwa na watu wengi kwa muda mrefu na kuthibitishwa. Mayala unaljua hilo. Hata hivyo huwa naelewa hoja zako.
 
Back
Top Bottom