Rais Magufuli na msafara wa magari 4

Rais Magufuli na msafara wa magari 4

Kwa jinsi alivyonipa raha huyu JPM...wala sitakua na shida kukaa foleni kupisha msafara wake. Hata TISS wakiona wampe magari 50 mie kwangu poa tu. Ila wanaweza wakafikiri kumnunulia chopa apunguze matumizi ya barabara. Kwa mfano kwenda airport na maeneo kama hayo...itampa usalama zaidi na itapunguza foleni mjini. Maeneo yanayofikika kwa chopa aende kwa chopa. Kama obama vile.
 
Sifa za kijinga asije kututia hasara ya kufanya uchaguzi kabla ya muda husika. Plz mwambieni asichezee maisha na hizi harakati za kutumbua majipu ya mafisiem wenzie ni hatari.

Umekula maharage ya wapi wewe?
 
Amina! Usiogope Mkuu Nakuhakikishia HAKUNA MTU YOYOTE MWENYE JEURI YA KUMDHURU au KUMTOA ROHO YA UHAI Rais Wetu MKOMBOZI Na KIPENZI Chetu Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Iwe Ndani Ya Tanzania au Nje Ya Tanzania KWANI ANALINDWA SANA NA DUA ZETU SISI WANYONGE AMBAZO KWAKE NDIYO KINGA KUU. Sijawahi KUMPENDA MTU HALAFU AKADHURIKA KWA CHOCHOTE au LOLOTE. Mapenzi Yangu Ya KUTUKUKA Kwa Rais Wangu Dr. MAGUFULI Na Jinsi Ninavyomweka Ktk MAOMBI Yangu Kila Uchao Ni KINGA YAKE TOSHA. Mwenyezi Mungu AMETUSHUSHIA Rasmi MRITHI Wa Nyerere Na Sokoine Hivyo Kwa Pamoja TUSHIKAMANE Na TUMUOMBEE KISAWASAWA!

Chema hakidumu.
 
Inabidi aongeze ulinzi aisee,hii fukuzafukuza!atatupeleka kwenye uchaguzi na nchi ni muflisi hii
 
Watu wanatembelea magari ya hadi mil.200 unafikiri wanafurahia hii?
 
Nilimpenda lowassa ila naipenda serikali ya Magufuli kwa utendaji wake God Be With You Mpaka Nchi inyooke..
 
Ni faraja sana kuona asilimia 95 ya comments zinalenga kushauri ulinzi wa mheshimiwa Rais uimarishwe na pia tuzidi kumuombea. Hii hali inanipa picha namna gani watanzania wanavyoipenda nchi yao. Naamini kwamba ukiwa kiongozi mzalendo na mtenda haki utapendwa na kila mwananchi bila kujali uongozi wako umeupata kupitia chama gani.
 
Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!

In Jesus name..Ameen
 
Kwanza akidhulika mjue ndiyo mwisho wa chama chenu, so hata wao wapo makini kufanya uharifu wa aina hiyo GENTAMYCINE, so pale anaposema tumuombee tutambue ni zaidi ya kumuombea, maana NIA na LENGO alilonalo nafsini mwake dhidi ya taifa yawezekana kuna mmoja kati ya waliomtangulia anaumia nafsini kutokana na haya anayofanya mh. JPM.
 
Last edited by a moderator:
Nipo hapa seaview, upanga. Ni saa 1:20. Rais wetu anapita akiwa na pikipiki 2,za polisi na magari manne tu. Halafu hakuna kufunga barabara. Jamani, haya ni maajabu. Tumempata kiongozi.

Tumuombee sana kwakweli huyu kipenzi cha waTz
 
Mh. Magufuli. Hii vita dhidi ya wakwepa kodi wakubwa na wauza unga, inabidi ulinzi uwe mara dufu kuliko ule wa Kikwete.

Please tunahitaji uwepo wako kwa miaka mitano hadi uchaguzi ujao. Maombi yatakuwepo lakini kila tahadhali ichukuliwe.

Umeongea point sana ubarikiwe na God
 
eeh baba Mungu wa mbinguni ahsante kwa kutupa kiongozi makini Dr magufuli tunaomba umlinde na umpe afya njema na wale maadui zake wakashindwe kwa damu ya yesu kristo.wote tuseme amina
 
Napenda Tu NIKUHAKIKISHIE Mkuu Hayo Mambo Yameweza Kufanyika Ktk Nchi Zingine ILA Tambua Ya Kuwa Tanzania IMEBARIKIWA Kuwa Na Very Strong INTELLIGENCE Machinery Ambayo Kidogo Unaweza Kuifananisha Na Ya ISRAEL, US, CHINA Na KOREA Ya KUSINI Na Haswa Haswa KITENGO Cha Presidential Security Unit Cha TANZANIA Ni Cha KUTUKUKA Mkuu Na Kiko Very Loyal, Dedicated, Patriotic Na Committed. Bila Uimara Wa Hawa Jamaa Basi Marehemu Mchonga au Mwinyi au Mkapa au Kikwete Wasingekuwa Hai Leo Hii Kwani Tanzania Tuna MARAFIKI WANAFIKI Ambao Kwa Upande Wa Pili Ni Maadui Zetu Lakini Wanaposhindwa Ni Sehemu Moja Tu Nayo Ni Kupambana Na UIMARA Na Shirika Letu Kuu La UJASUSI ( SSIT ).

story za vijiwe vya kahawa unaleta humu!!
 
Na usishangae kumuona siku nyingine anaendesha mwenyewe pikipiki akiwa na msafara wa pikipiki tatu tu moja ya kwake na zingine za polisi na hakuna kufunga njia kama marais wengine.

Hahhahahhaahahhaah...... umezisha utani duuuh
 
Back
Top Bottom