Rais Magufuli na msafara wa magari 4

Rais Magufuli na msafara wa magari 4

suala la ulinzi wa rais nni suala la tiss..rais wetu akidhurika hao tiss watatueleza
 
Hili sio jambo la kushangilia wala kuendekeza!
Mwambieni yupo vitani kuikomboa Nchi dhidi ya mafisadi!
Ulinzi kwake ni mhimu kuliko maono aliyonayo juu ya Tanzania yake.

Ulinzi imara hauhusiani na msafara mkubwa wa magari!ni kuwa na walinzi imara waliobobea kubwa zaidi wawe watiifu na waaminifu KWA wanayemlinda!
 
Nipo hapa seaview, upanga. Ni saa 1:20. Rais wetu anapita akiwa na pikipiki 2,za polisi na magari manne tu. Halafu hakuna kufunga barabara. Jamani, haya ni maajabu. Tumempata kiongozi.

Na usishangae kumuona siku nyingine anaendesha mwenyewe pikipiki akiwa na msafara wa pikipiki tatu tu moja ya kwake na zingine za polisi na hakuna kufunga njia kama marais wengine.
 
Ulinzi imara hauhusiani na msafara mkubwa wa magari!ni kuwa na walinzi imara waliobobea kubwa zaidi wawe watiifu na waaminifu KWA wanayemlinda!

Lakini ieleweke kuwa anapambana na system ya waharifu! popote wanaweza kupenyeza rupia wakapata mtu wao wa kummaliza Mh Rais wetu!
 
Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!

Amina! Usiogope Mkuu Nakuhakikishia HAKUNA MTU YOYOTE MWENYE JEURI YA KUMDHURU au KUMTOA ROHO YA UHAI Rais Wetu MKOMBOZI Na KIPENZI Chetu Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI Iwe Ndani Ya Tanzania au Nje Ya Tanzania KWANI ANALINDWA SANA NA DUA ZETU SISI WANYONGE AMBAZO KWAKE NDIYO KINGA KUU. Sijawahi KUMPENDA MTU HALAFU AKADHURIKA KWA CHOCHOTE au LOLOTE. Mapenzi Yangu Ya KUTUKUKA Kwa Rais Wangu Dr. MAGUFULI Na Jinsi Ninavyomweka Ktk MAOMBI Yangu Kila Uchao Ni KINGA YAKE TOSHA. Mwenyezi Mungu AMETUSHUSHIA Rasmi MRITHI Wa Nyerere Na Sokoine Hivyo Kwa Pamoja TUSHIKAMANE Na TUMUOMBEE KISAWASAWA!
 
Hayo safi kabisa yanatosha...hii nchi ina amani ya nini kutembea na msururu wa migari 20!?!

Kweli Dkt Magufuli ni chaguo la Mungu. Na Mungu pekee ndiye atamlinda mja wake.

Mambo haya si ulikuwa unayatetea kipndi cha yule wa msoga wewe. Leo unaunga mkono kwel we nyumbu
 
suala la ulinzi wa rais nni suala la tiss..rais wetu akidhurika hao tiss watatueleza

Namwamini Sana Mkuu Mzee MASHIBA Wa PSU Kuwa ATAWAONGOZA Vizuri Vijana Wake Ktk KUTULINDIA Vizuri Na Kwa Uhakika Rais Wetu Kipenzi Na Kipenzi Changu Haswa Dr. John Pombe Joseph MAGUFULI.
 
Hili sio jambo la kushangilia wala kuendekeza!
Mwambieni yupo vitani kuikomboa Nchi dhidi ya mafisadi!
Ulinzi kwake ni mhimu kuliko maono aliyonayo juu ya Tanzania yake.
Ulinzi wake ni juu yetu sisi wananchi wake kuliko hayo magari mengi yatakayomzunguka. Inawezekana wengi wao wakamlinda kinafiki ila sisi tutamlinda kwa dhamira thabiti.. wanachotakiwa kujua maadui wake ni kwamba ALIPO TUPO WANANCHI wake. Tutamlinda kwa nguvu zote, hiki ni kiapo na hakivunjwi.. songa mbele Mr. Presodent.
 
Sioni shida kuongeza ulinzi. Mpambano alio nao unaokoa hela nyingi kutoka meno ya mafisadi.
 
Upo sahihi mkuu. Anahitaji ulinzi mkubwa kuliko viongozi waliotangulia maana kazi aliyoianza sio rahisi, ni ya hatari. Atakuwa na maadaui wengi - mafisadi, wakwepa kodi, wafanyabiashara ya madawa ya kulvya. Hawa ni watu wenye nguvu ya fedha. Sio wa kuwachukulia poa. Binafsi kuwa na msafara mdogo namna hiyo inanitia wasiwasi juu ya usalama wake. Siombei, lakini tahadhari ni bora iwe kubwa.

Kwa kasi hii inabidi style hiyo ibadirike. Anahitaji ulinzi.
 
Ghaddaf aliwasumbua wazungu kwa muda mrefu sana ni kwasababu alijihami vyakutosha kwa kujitengenezea ulinzi mzito!
Magufuli akumbuke kipindi flani enzi ya utawala wa Mkapa alipewa ulinzi maalum akiwa waziri tu...
 
Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!

Aamin! Aamin! Aamin! Na wewe sema Aamin!
 
Lakini ieleweke kuwa anapambana na system ya waharifu! popote wanaweza kupenyeza rupia wakapata mtu wao wa kummaliza Mh Rais wetu!

Napenda Tu NIKUHAKIKISHIE Mkuu Hayo Mambo Yameweza Kufanyika Ktk Nchi Zingine ILA Tambua Ya Kuwa Tanzania IMEBARIKIWA Kuwa Na Very Strong INTELLIGENCE Machinery Ambayo Kidogo Unaweza Kuifananisha Na Ya ISRAEL, US, CHINA Na KOREA Ya KUSINI Na Haswa Haswa KITENGO Cha Presidential Security Unit Cha TANZANIA Ni Cha KUTUKUKA Mkuu Na Kiko Very Loyal, Dedicated, Patriotic Na Committed. Bila Uimara Wa Hawa Jamaa Basi Marehemu Mchonga au Mwinyi au Mkapa au Kikwete Wasingekuwa Hai Leo Hii Kwani Tanzania Tuna MARAFIKI WANAFIKI Ambao Kwa Upande Wa Pili Ni Maadui Zetu Lakini Wanaposhindwa Ni Sehemu Moja Tu Nayo Ni Kupambana Na UIMARA Na Shirika Letu Kuu La UJASUSI ( SSIT ).
 
Back
Top Bottom