Rais Magufuli na msafara wa magari 4

Rais Magufuli na msafara wa magari 4

Eeh Mungu uishie najua wewe ndiwe ulietupa huyu Rais Magufuli...nakuomba umlinde umtunze umkinge na kila adui wa ndani na nje..umlinde atokapo umlinde aingiapo umlinde alalapo umlinde aamkapo..eee Bwana wa Mabwana hakuna linalokushinda tusaidie please...!
Pia amjalie hekima na busara ...amina
 
sijutii kumpa kura yangu rais wetu magufuli

mimi sikumpa na wala sijutii...nampenda yeye ila chama chake sikiamini...namshukuru amejitenga nacho kwa vitendo...kama mungu akitupa uhai nitamfikiria mhula ujao simwahidi sana
 
Elimu ya Watanzania. Nimetazama kurasa mbili tu za thread hii nikatuta makosa haya ya silabi na Kiswahili: Ulietupa, ibadirike,tahadhali, Sinkara, Bukinafaso, waharifu..............
Hili si jambo la mzaha.Yaani Mtanzania hawezi kuandika jumla moja bila ya makosa. Naamini wanaochangia hapa angalau wamemaliza form IV....! Hili ni janga la taifa.
unajifanya unajua kukosoa wenzio "nimetuta "ndo nini??wewe ni janga la nani??
 
Back
Top Bottom