nguvu za nyani
Senior Member
- May 21, 2013
- 141
- 34
Kama hay a anayafanya Kwa dhati kutoka moyoni mwake,basi haihitaji ulinzi kwani anao tayari kutoka Kwa Mola mwenyewe
Hili sio jambo la kushangilia wala kuendekeza!
Mwambieni yupo vitani kuikomboa Nchi dhidi ya mafisadi!
Ulinzi kwake ni mhimu kuliko maono aliyonayo juu ya Tanzania yake.