antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,805
- 130,769
Kwa Wizi wa kuraKama anakosa wingi wa watu ameshindaje uchaguzi!
Kwa Wizi wa kuraKama anakosa wingi wa watu ameshindaje uchaguzi!
Wacha ziwe petrol, kibaraka hatumtamkiKauli kama hizi ndio mafuta ya taa katika utambi unaofuka moshi. Natamani kuona Kauli za kujenga na sio kubeza
Kweli kabisa Binadamu tumempuuza na kumgomea ushetani wake.Napinga binadamu kukutana na Shetani
Kibaraka ni nani?Wacha ziwe petrol, kibaraka hatumtamki
Sasa ni wakati wenu pia kuiona Tanzania jehanam. Lazima Safari hii mtajifunza kuwa udhalimu haulipiKweli kabisa Binadamu tumempuuza na kumgomea ushetani wake.
Tanzania kaiona kama moto wa jehanam KAKIMBIA!
Akitaka maridhiano aje home kwanza azunguke nchi nzima kutubu mbele ya watanzania.
Tukimsamehe - ndo tutamruhusu aonane na RAIS wetu.
Sema umewaignore wewe. Watu sasaivi wanafanya Silent movement ambayo ndo mbaya zaidiMwambie Lissu awe na siasa za heshima, lugha nzuri.akajifunze kwa Slaa
Nje ya hapo mtaomba po sana, mtaongea lugha zote, watu washa wa ignore
Kama Lissu wazazi wake wako ubelgiji sawa
Aache kuongea shits, mpaka anakufa baadae ata loose kabisa popularity kama Mrema
Yeye ndio ajishushe
Sasa myajifunza vizuri kuwa hawezi kukutana na Lissu pale atakapotolewa rasmi arrest warrant na ICCRais hawezi kutanishwa na lissu, ni kumpaisha lissu asikostahili
Endeleeni tu kujitia ujinga. Mmepigwa upofu hamjui kinachokuja. Kwa taarifa yako jiandae kuona arrest warrant ya ICC dhidi ya Magufuli na watu wake huku mkiwekewa vikwazo vya kufa mtu.Tundu Lissu hana athari yoyote nchini aendelee kuishi huko huko Ubeligiji Rais wetu hana muda wa kukaa naye Kuna miradi na mipango mingi ya kufanya ili kuendeleza nchi
Hayo mawazo yako ni mawazo mfu watzw wameamua kuchagua maendeleo na so matusi.
Rais panga Safi yako ya Uongozi tupige kazi Mambo ya Tundu Lissu tupilia mbali kabisa haya nafasi ndani ya miaka hii 5
Wanawake weusi mlikuwa ma jambo lenu vipi imekuwaje?Ni shetani tu anaeweza kupigia magoti wanafunzi kuwaomba kura
Ona mjinga mmoja huyu.Wakikutana waongee Kiingereza!
Kweli Shetani hawezi kuonana na Magufuli.Napinga binadamu kukutana na Shetani
Lissu akutane na Rungwe apewe ubwabwa maharage itapendezaKweli Shetani hawezi kuonana na Magufuli.
Kwani nini mlishindwa kumzuia asikimbie na mmemshitaki kwa makosa ya uchochezi.Rais akutanishwe na kibaraka wa mabeberu ili iweje? Acheni kumtafutia promo za kitoto hapa. Amekimbia, amejipanga kuichafua nchi yetu kwa kutumiwa na mabeberu wanotaka kuja kuchuma. Hana uzalendo wowote kwa nchi yetu. Yeye aishi huko huko, hatumhitaji.
Tutaijenga upya chadema aliyoibomoa. Let him go to hell
Lissu kibaraka hatumhulitaji watanzaniaKauli kama hizi ndio mafuta ya taa katika utambi unaofuka moshi. Natamani kuona Kauli za kujenga na sio kubeza