Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,412
- 283,615
A very big NODon't say never. Everything is possible
A very big NODon't say never. Everything is possible
Usikatae bila kutoa fursa. Palipo na nia pana njiaA very big NO
Wewe unaota daymare, CCM imekushinda kuijenga utaiweza CHADEMA?Rais akutanishwe na kibaraka wa mabeberu ili iweje? Acheni kumtafutia promo za kitoto hapa. Amekimbia, amejipanga kuichafua nchi yetu kwa kutumiwa na mabeberu wanotaka kuja kuchuma. Hana uzalendo wowote kwa nchi yetu. Yeye aishi huko huko, hatumhitaji.
Tutaijenga upya chadema aliyoibomoa. Let him go to hell
Kama anakosa wingi wa watu ameshindaje Uchaguzi!Mkuu, umenena vyema.
Kuna watu wana mtindo wa mbuni wa kuzika vichwa kwenye mchanga na kudai hakuna shida yoyote, lkn kweli ni kuwa shida ipo.
Huyo anayedaiwa hafai, anaweza kuwa na wafuasi wengi na ndo sabb uchaguzi haukuachwa kuwa huru na haki.
Mmoja anaweza kuwa na mamlaka yote lkn akakosa wingi wa watu.. Mwingine akawa na watu wengi bila mamlaka.
Hekima kubwa inahitajika kutatua huo mkwamo
Watakutania mawinguni? Lissu si alikuwepo hapa mkataka kumuua kama vile nyinyi mtaishi milele amina.Usikatae bila kutoa fursa. Palipo na nia pana njia
Ameshinda kwa kura za udanganyifu.Kama anakosa wingi wa watu ameshindaje uchaguzi!
Hakuna mpasuko nchi hii!Usijae kibuli na dharau ndugu. Unafaidika nini na mpasuko huu?
Madam uko upande upi? Hutaki malidhiano?Watakutania mawinguni? Lissu si alikuwepo hapa mkataka kumuua kama vile nyinyi mtaishi milele amina.
Kwani hujui?!Kama anakosa wingi wa watu ameshindaje uchaguzi!
Acha kupinga hakuna hewa eti kwa sababu hauuoni. Angalia athali zakeHakuna mpasuko nchi hii!
Labda mpasuko ndani ya CHADEMA!Acha kupinga hakuna hewa eti kwa sababu hauuoni. Angalia athali zake
Kwa kanuni ipi ya sheria za Uchaguzi!Ameshinda kwa kura za udanganyifu.
Unachokifanya ni diversion. Usitutoe kwenye hoja ya msingiLabda mpasuko ndani ya CDM!
CCM haendeashwi kwa sheria bali matamko.Kwa kanuni ipi ya sheria za uchaguzi!
Usijae kibuli na dharau ndugu. Unafaidika nini na mpasuko huu?
Ujakosea, hii nchi sio ya mbuzi dume!Shida ya huyo JPM na wafuasi wake ni jeuri na majivuno,kuona kwamba hii nchi ni mali yao na ccm.
Ili ni pigo la Maya!CCM haendeashwi kwa sheria bali matamko.
Tutauona mwisho wake.Ili ni pigo la Maya!