Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Kijana, hiyo ndo kodi yenyewe sasa. Wameshindwa kuwakaba wamachinga mmoja mmoja kudai kodi, wameweka hii.

Wametumia ujanja kuwapata. Kwa hiyo machinga ukikutwa hauna kitambulisho ni sawa na duka kukutwa bila TIN na leseni ya biashara.

Jamaa janja kichizi. Huku machinga wanachekelea hawatalipa kodi kule CDM wanasema jamaa anakurupuka. Hahahaha

Habari ndo hiyo.
 
Kijana, hiyo ndo kodi yenyewe hiyo sasa. Wameshindwa kuwakaba wamachinga mmoja mmoja kudai kodi, wameweka hii.

Wametumia ujanja kuwapata. Kwa hiyo machinga ukikutwa hauna kitambulisho ni sawa na duka kukutwa bila TIN na leseni ya biashara.

Habari ndo hiyo.
Duh! yani huyu jiwe huyu basi tu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Huenda ni kwasababu mnafanya biashara.
 
Naam habari za uhakika ni kuwa wale machinga wanaopiga domo kukosoa, wapinga kila kitu na ambao siyo wazalendo kwa nchi yao wametakiwa kujiandaa kisaikolojia kwani katu hawatopewa vitambulisho vilivyotolewa kwa ajili yao.

Aidha ili kuwa na uhakika wa kupata kitambulisho hicho basi uwe na kadi ya CCM.

#TeamWanaotumiwaNaMabeberu tutapata tabu sana!

Nasikia huko Mbeya mkuu wa mkoa ndugu Chalamila tayari anayo orodha ambayo hao katu hawatoonja ladha ya vitambulisho vya JPM.
kuipata kadi ya ccm ni rahisi kuliko kuipata kazi ya yanga/simba. zipo zinauzwa kama njugu
 
kila mtu inabidi afeel the same na atembee kifu mbele kwa sabb ya ulipaji kodi unataka nani akulipie kodi?

si ninyi ndo huwa mnashangilia kuitwa wanyonge! sasa kaja na vitambulisho vya wanyonge
 
jibu lako wewe ni la kishoga zaidi..
Hahahahhaa aiseeenimecheka sana sana Aisee eti jibu LA Shoga,Sijui jamaa umefikiria nini Aisee,Unajua nlikuwa maeneo flani hapa Watu wanaitana Shosti,wengine shoga sasa nakutana na Huu Uzi lol!
Mkuu siku nyingine usimwite mwenzio jina baya kama Hilo Mkuu,
Hatajisikia Vizuri!
Ahsante kwa kunielewa!
 
Mnamponda mtoa mada kwa sababu zipi? fafanua.
 
Watu kama wewe mnasitahili kutawaliwa kwa mijeledi maana hamna jema hata mkianza kulipwa kila mwezi mtalalamika pia.
Inawezekana mmelaaniwa sio bure.
 
Back
Top Bottom