Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

Rais Magufuli na karata ya machinga kuelekea 2020

ni kweli kodi ni muhimu kwa maendeleo yetu, lakini nilidhani 75% ya pension ingeziba au?
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Pole sana ila ni lazima utofautishe hati ya kusafiria na hati ya kukupa ruhusa ya kufanya biashara ya kukuingizia kipato.
Kwa kifupi ni kodi ya mapato kutoka mwenye biashara yako kwa mwaka mzima!!!!! Kwa hili tukubali kwamba kulipa kodi stahiki na shirikishi ni jambo zuri sana ila lifanye kisheria zaidi ili wasije wakabadilika badilika siku si nyingi!!!!!!!!!!!!
 
Wachochezi/wapingaji katika ubora wenu.

Sijaona ushauri zaidi ya kupinga.

Toa njia mbadala............. Tanzania itajengwa na sisi wenyewe..... kukaa nyuma ya keyboard na kupinga hakutaijenga Tanzania.
 
Unaipata kwa kududnduliza,,ila yeye anaitaka papo.kwa papo yaan tit for tat
utalipa tu unataka nani akuendeshee nchi....unafikiri lami,dawa,umeme,shule nk zinatoka mbinguni...?
 
B
Hivi nikiwa na mtaji wa mil. 16 na nilikuwa nalipa kodi, baada ya vitambulisho vya mkwepakodi, nikagawanya mtaji wangu Mara 4, nikawa na mtaji wa mil.NNE nne nikwagawia ndugu zangu mmoja tegeta, mwingine buguruni, Mimi manzese, na mwingine ilala,

alafu nikatumia sh 80,000 kununua kitambulisho cha mkwepa kodi,

Tayari TRA wameshapoteza mapato kibao
Bro sio mkwepakodi inatakiwa isomeke mlipakodi
Sahihisha hii comment yako
 
Wewe kwa mwaka unaingiza sh ngap kushindwa kulipa elfu ishirini mimi nina ndugu zangu tu wengi wapo hapa dar wanauza hizo karanga kwa mwaka wana uwezo wa kuingiza zaidi ya milioni 3 sasa mtu kama huyu anashindwa vp kulipa iyo elfu ishirini ili afanye biashara yake pasipo kubugudhiwa na mgambo wa jiji vitu vingine si vya kulia lia
Ndio hapo sasa! Kama unazungumzia nchi utaelewa ila kama ni hiyo 20 utaona ni nafuu!
Hii kitu ni planless
 
utalipa tu unataka nani akuendeshee nchi....unafikiri lami,dawa,umeme,shule nk zinatoka mbinguni...?
Zinatosha sana hizi kulipia elimu bure, nadhani sasa watoto watakunywa uji wakilipa 20,000 wengi.
 
Hahaha uchaguzi umekaribia utasikia kila kitu kuhusu machinga na mamantilie. Hawakawii kesema machinga na mamantilie wataruhusiwa kuuza ndani ya dreamline.
Wanatumika kama kondom.
 
kodi ni muhimu acha kulialia ndio hiyo inayojenga barabara, reli, interchange ubungo, maji, vituo vya afya unafikiri pesa zinatoka mbinguni????
 
Hahaha uchaguzi umekaribia utasikia kila kitu kuhusu machinga na mamantilie. Hawakawii kesema machinga na mamantilie wataruhusiwa kuuza ndani ya dreamline.
Wanatumika kama kondom.
Jamani,bora wangewahi mwanzoni.nia nu njema tu jsmrni
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Wamachinga hawalipi kodi.... hyo elf 20 ni kama kodi yao kwa mwaka... passport ya kusafiria sio kitambulisho cha biashara....
 
Jamani hakika sisi wamachinga sasa tumekuwa punching bag hasa kinapokaribia kipindi cha uchaguzi kama huu unaokuja wa serikali za mitaa.
Hivi kweli inaingia akilini Passport kubwa ya kusafiria inayotengenezwa kitaalamu sana imgharimu Mtanzania shs 150,000/ pekee kwa miaka 10 yaani wastani wa shis 15,000/ kwa mwaka na sisi wachumia juani kale kakadi katugharimu 20,000/ kwa mwaka mmoja?
Au gharama hiyo ni kwa vile hatutapigwa mabuti na virungu hivyo lazima tutoe chochote kwa serikali kama protection cost?
Haileti maana, au mimi ndio sielewi? TUHURUMIENI WAKUBWA KAMA NI KURA NJOONI MUMWAGE SERA SIO KUTUBAMIZA
Hapo ni kura na kuongeza kipato maana kuna takribani 13b
 
Back
Top Bottom