Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,027
- 144,382
Hii nchi ni kama ina ombwe la binadamu!!!
Siku Rais alipotangaza kununua korosho kwa bei ya sh3300, niliona kwenye taarifa ya habari Itv machinga wa Mtwara akipiga magodi kwa niaba ya wanamtwara kumshukuru Rais kwa kuwakomboa na bei kubwa. NILICHEKA KWA MAUMIVU. Jana Rafiki yangu wa Lindi kaniambia kule ni kilio kimetawala. NA HAWA WA VITAMBULISHO TUSUBIRI,MUDA HUWA HAUDANGANYIMzee huyu kaona hapa njia pekee ya kuwarubuni machinga ni kuwaambia eti anawapa vitambulisho,
Kwanini visiwe vitambulisho vya kawaida, mfano kama vya kumtambulisha mkazi au aina nyingine mpaka viwe connected na TRA? Kwanini visitolewe na halmashauri au wizara ya viwanda na biashara ila atoe Magufuli kuputia mlango wa TRA?
Kwa sasa kitambulisho mmekipata kwa 20,000 hiyo ni Invitation to treat ,
Hivo mtavilipia mpaka 200,000 ,kwa Muda unaokuja hasa mwakani, na imeshatambulika kuwa huwa una kitambulisho, na kina mama lishe woote mtalipa
Nanukuu "Hakuna kumsumbua machinga au mama lishe mwenye kitambulisho hiki"
Alafu wakashangilia, yaan kwa logic ya kawaida ni kwamba wasiokuwa navyo wasumbuliwe, hivo ipo siku kitauzwa laki 4 lazima awe nacho kuepuka kusumbuliwa na mgambo, haya
Shangilieni
Ndo maana yake, kutakuwa na ada fulani hata 5,000/= kwa mwaka sio haba.Kuna uwezekano kuwa watapaswa kuvilipia kila mwaka.
Hii ni tax base nyingine kama leseni tu.
Blaza ,hawa jamaa wamepatikana awamu hii,hamna pakutokea.kilichobaki ni kujiunga tu na MEMbeHata wasingepewa mngelaumu tu nyie endeleeni kutafuta mambo ya kuponda na kulaumu
Wamachinga tunajenga nchi yetu wenyewe. Kwa vihela vyetu wenyewe vya juani huu ni uchumi wa jasho na damu bila malipo!Mzee huyu kaona hapa njia pekee ya kuwarubuni machinga ni kuwaambia eti anawapa vitambulisho,
Kwanini visiwe vitambulisho vya kawaida, mfano kama vya kumtambulisha mkazi au aina nyingine mpaka viwe connected na TRA? Kwanini visitolewe na halmashauri au wizara ya viwanda na biashara ila atoe Magufuli kuputia mlango wa TRA?
Kwa sasa kitambulisho mmekipata kwa 20,000 hiyo ni Invitation to treat ,
Hivo mtavilipia mpaka 200,000 ,kwa Muda unaokuja hasa mwakani, na imeshatambulika kuwa huwa una kitambulisho, na kina mama lishe woote mtalipa
Nanukuu "Hakuna kumsumbua machinga au mama lishe mwenye kitambulisho hiki"
Alafu wakashangilia, yaan kwa logic ya kawaida ni kwamba wasiokuwa navyo wasumbuliwe, hivo ipo siku kitauzwa laki 4 lazima awe nacho kuepuka kusumbuliwa na mgambo, haya
Shangilieni
Naomba kuuliza jamani kwa mfano wajasiliamali wadogo wadogo ambao walikuwa wanakata leseni kwa sasa wakija kupata kitambulisho cha Mheshimiwa Rais hawahitajiki tena kuwa na leseni?Mzee huyu kaona hapa njia pekee ya kuwarubuni machinga ni kuwaambia eti anawapa vitambulisho,
Kwanini visiwe vitambulisho vya kawaida, mfano kama vya kumtambulisha mkazi au aina nyingine mpaka viwe connected na TRA? Kwanini visitolewe na halmashauri au wizara ya viwanda na biashara ila atoe Magufuli kuputia mlango wa TRA?
Kwa sasa kitambulisho mmekipata kwa 20,000 hiyo ni Invitation to treat ,
Hivo mtavilipia mpaka 200,000 ,kwa Muda unaokuja hasa mwakani, na imeshatambulika kuwa huwa una kitambulisho, na kina mama lishe woote mtalipa
Nanukuu "Hakuna kumsumbua machinga au mama lishe mwenye kitambulisho hiki"
Alafu wakashangilia, yaan kwa logic ya kawaida ni kwamba wasiokuwa navyo wasumbuliwe, hivo ipo siku kitauzwa laki 4 lazima awe nacho kuepuka kusumbuliwa na mgambo, haya
Shangilieni
Blaza ,hawa jamaa wamepatikana awamu hii,hamna pakutokea.kilichobaki ni kujiunga tu na MEMbe
Magufuli kaukazia upinzani mpaka hauwezi kufurukuta kwa hoja za msingi wamebaki na vihoja tuBlaza ,hawa jamaa wamepatikana awamu hii,hamna pakutokea.kilichobaki ni kujiunga tu na MEMbe
Naona wameanza awamu mpya ya kuunga mkono juhudi.Hii nchi ni kama ina ombwe la binadamu!!!
Hivi mbongo ni binadamu aliekamilika?
wewe kama sio mfanyabiashara mdogo waache wenzio wapewe afu tuone mwisho wa siku itakuwaje. . . usipige ramliMzee huyu kaona hapa njia pekee ya kuwarubuni machinga ni kuwaambia eti anawapa vitambulisho,
Kwanini visiwe vitambulisho vya kawaida, mfano kama vya kumtambulisha mkazi au aina nyingine mpaka viwe connected na TRA? Kwanini visitolewe na halmashauri au wizara ya viwanda na biashara ila atoe Magufuli kuputia mlango wa TRA?
Kwa sasa kitambulisho mmekipata kwa 20,000 hiyo ni Invitation to treat ,
Hivo mtavilipia mpaka 200,000 ,kwa Muda unaokuja hasa mwakani, na imeshatambulika kuwa huwa una kitambulisho, na kina mama lishe woote mtalipa
Nanukuu "Hakuna kumsumbua machinga au mama lishe mwenye kitambulisho hiki"
Alafu wakashangilia, yaan kwa logic ya kawaida ni kwamba wasiokuwa navyo wasumbuliwe, hivo ipo siku kitauzwa laki 4 lazima awe nacho kuepuka kusumbuliwa na mgambo, haya
Shangilieni
Serikali yetu hii! kuna siku wataondoka na huku nyuma tutajua yote na kujiuliza hawa waliopita tunastahili kuwafanyaje? nadhani stahili itakuwa kuwapeleka Mirembe wote wapimweHili wazo la Vitambulisho vya wamachinga ni waste of time and is bad idea.
Kama gharama ya vitambulisho ni Tshs 20 000 then ina maana hizo elfu 20 wanazotoa wamachinga ni kurudisha gharama. Sasa kuna haja gani ya kuchapisha vitambulisho vya gharama halafu vinatumika kwa mwaka tu. Unless zoezi zima ni kwa ajili ya kuwasaidia wamachinga wasisumbuliwe. Lakini kama kitambulisho hakina jina ina maana kinaweza kutumiwa na mtu zaidi ya moja ... maana verification yake itakuwa ngumu. Yaani list ya vitambulisho iko Kantaramba halafu machimnga anapiga kazi Longido ... I can imagine!!
Siyo inawezekana bali ndivyo ilivyoelezwa. Hicho kitambukisho ni cha mwaka mmoja tu. Mwakani watapewa tena, kwa malipo tofauti na haya.Kuna uwezekano kuwa watapaswa kuvilipia kila mwaka.
Hii ni tax base nyingine kama leseni tu.
Haijawahi tokea tangu nianze kuijua Tz, serikali ikaweka kiwango rafiki wa wafanyabiashara.
So wajiandae na tetemeko la ARDHI.
Watu waweza kuona huu usemao ni utani lakini ndio njia pekee ya kupambana nao. Pia na sisi wale wanunuzi tutanunua pale tuu ambapo hatutaona kitambulisho.Wakae na vitambulisho vyao, atakae mfuata machinga kumsumbua kisa hana kitambulisho machinga wadeal nae PERPENDICULAR.