Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Uanasheria koko huu issue sio place of oath mjinga mkubwa Wewe ni muapishaji chadema kina wanasheria wapumbavu ndio.maana walishauri chadema iwafukuze uanachama wabunge kwa eti kosa la kuhudhuria vikao vya bunge wakati ni wajibu wao
Katiba tu iko wazi kuwa raising ataapishwa haisemi ataapishwa wapi chato ,mtaa Wa ufipa au wapi sembuse waziri!!! Chadema MNA akiki ndogo mno ndio maana October lazima muondoke wote hapiti mtu
Mkuu jazba yote hii ya nini?