Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,540
- 30,606
Kwahiyo anaweza kuapishwa hata bar kama ilivyofanyika kule Chato?Miye nilidhani maneno yaliyotumika hayakuwa sahihi kulinganisha na maneno yanayotumika kuapisha mawaziri wengine... Matakwa ya Katiba (kwa makusudi kabisa) hayataji mahali halali pa kumuapisha Waziri au hata Rais...
Sent using Jamii Forums mobile app