MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ambayo imethibitisha kuwa huyu Mtangazaji wa Cloudstv 360 Hassan Ngoma ana matatizo makubwa yanayohitaji Tiba ya haraka au Kujikomba ( Kujipendekeza ) Kwake ni Asili yake aliyoirithi asubuhi hii akiongea na huku akiwa mkavu kabisa Usoni amesema kuwa tokea Mheshimiwa Rais JPM awe Madarakani hadi hii leo hajawahi hata Siku moja Kumtukana wala Kumdhihaki Kiongozi yoyote yule awe ndani ya CCM na Serikali yake au hata Upinzani.
Kama Mtangazaji huyu Hassan Ngoma leo hii anasema na huku akimtetea na akijikomba Kulikopitiliza kwa Mheshimiwa Rais JPM kuwa huwa hatukani Watu na hajawahi Kutukana namuomba nimuulize je ile Kauli ambayo kwa bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliisema hadharani na akiwa Ikulu kuwa mara kwa mara amekuwa akiwatukana Tusi la Pumbavu Mawaziri wake Waandamizi Mpango na Kabudi Kwake Yeye hiyo siyo Dhihaka na hayo siyo Matusi na Udhalilishaji?
Hivi ni kwanini Mheshimiwa Rais JPM humteui huyu Hassan Ngoma anayejipendekeza Kwako kunakopitiliza ili Sisi huku tupumzike? Na hata ikitokea ukamteua leo au kesho ila kwa tunaomjua vyema huyu Mtangazaji Hassan Ngoma ni kwamba kama kuna Mchambuzi ambaye wakati wa Kampeni za mwaka 2015 alikuwa akikudharau, akikukosoa na hadi kukudhihaki katika chambuzi zake mbalimbali ni huyu Mtangazaji na tunaomjua tunashangaa imekuwaje leo hii anajifanya Kukupenda Wewe ambaye alikuwa hakutaki uwe Rais wa nchi hii.
Sina hakika kama kwa huu Utangazaji wa Kipuuzi, Kiunazi na wa Kujipendekeza wa Hassan Ngoma umeweza Kuongeza idadi ya Watazamaji wa Cloudstv 360 badala yake nahisi kuwa tokea huyu Mtangazaji awepo hapo idadi ya Watazamaji ( audience ) wa Clouds tv itakuwa imepungua mno na kama Uongozi wa CMG hautaliangalia hili huyu Mtu ( Hassan Ngoma ) atawasababishia matatizo hasa ya Kibiashara kwani kwa hizi ( Characters ) zake wapo Watu wengi ambao anawakwaza hasa.
Kama Mtangazaji huyu Hassan Ngoma leo hii anasema na huku akimtetea na akijikomba Kulikopitiliza kwa Mheshimiwa Rais JPM kuwa huwa hatukani Watu na hajawahi Kutukana namuomba nimuulize je ile Kauli ambayo kwa bahati nzuri Mheshimiwa Rais aliisema hadharani na akiwa Ikulu kuwa mara kwa mara amekuwa akiwatukana Tusi la Pumbavu Mawaziri wake Waandamizi Mpango na Kabudi Kwake Yeye hiyo siyo Dhihaka na hayo siyo Matusi na Udhalilishaji?
Hivi ni kwanini Mheshimiwa Rais JPM humteui huyu Hassan Ngoma anayejipendekeza Kwako kunakopitiliza ili Sisi huku tupumzike? Na hata ikitokea ukamteua leo au kesho ila kwa tunaomjua vyema huyu Mtangazaji Hassan Ngoma ni kwamba kama kuna Mchambuzi ambaye wakati wa Kampeni za mwaka 2015 alikuwa akikudharau, akikukosoa na hadi kukudhihaki katika chambuzi zake mbalimbali ni huyu Mtangazaji na tunaomjua tunashangaa imekuwaje leo hii anajifanya Kukupenda Wewe ambaye alikuwa hakutaki uwe Rais wa nchi hii.
Sina hakika kama kwa huu Utangazaji wa Kipuuzi, Kiunazi na wa Kujipendekeza wa Hassan Ngoma umeweza Kuongeza idadi ya Watazamaji wa Cloudstv 360 badala yake nahisi kuwa tokea huyu Mtangazaji awepo hapo idadi ya Watazamaji ( audience ) wa Clouds tv itakuwa imepungua mno na kama Uongozi wa CMG hautaliangalia hili huyu Mtu ( Hassan Ngoma ) atawasababishia matatizo hasa ya Kibiashara kwani kwa hizi ( Characters ) zake wapo Watu wengi ambao anawakwaza hasa.