Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Urais ni Taasisi kubwa ww kazo ya kukata utepe ni ya Makam wa RaisKuna tatizo akizindua yeye??
Urais ni Taasisi kubwa ww kazo ya kukata utepe ni ya Makam wa RaisKuna tatizo akizindua yeye??
Angezinduaje wakati almost kipindi chote cha uongozi wake alikuwa 'angani'??Hivi wakati wa Kikwete hakukuwa na Miradi? Make sikuwahi kumuona Kikwete Akizindua Miradi.
Yaani Ukuta kuzuia wizi wa tanzanite dunia nzima inapatikana kwetu unaona kitu kidogo nyie watu wa ajabu kweliKwenye kazi yuko vizuri.... Ila vitu vingine angekuwa anawaachia mawaziri husika sio kila kitu yeye.....
Yeye aonekane kwenye vitu vikubwa kama SGR huko....
Hatutaki hata kumwona asije kutuharibia maisha bure.Kila sehemu anataka ibaki chata yake,hivi huko kusini na MBEYA hawana vya kuzindua aje.
Mkasi alikuwa nao DR. Bilaly..sasa hivi mkasi anatembea nao..Nilikuwa naona Mawaziri ndo wanazindua pamoja na wakuu wa mikoa na Wilaya. Ila kwa sasa tutarajie hadi Daraja la kuunganisha mtaa kwa mtaa likizinduliwa na mkuu
Tehe teheMkasi alikuwa nao DR. Bilaly..sasa hivi mkasi anatembea nao..
Hatutaki hata kumwona asije kutuharibia maisha bure.
Iseme mkuu ni project ipi hiyo???huyu ameona wamemsema sana kuhusu kupeleka maendeleo Chato,anajarbu ku neutralize.....trust me after this period ya kutembeza mikasi,kuna project Chato iko chini ya kapeti..mxiewwwwwwwwwww
Weka kifunguIvi kukata utepe si kazi ya makamu wa Rais kikatiba? Mbona jamaa anahangaika ivo
Umegharimu kiasi gani cha fedha?View attachment 733424
Haya wakuu,ni mwendo wa kuonyesha kazi kwa vitendo,sasa ni uzinduzi wa Ukuta wa Mirerani uliojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa kwa kushirikiana na Wizara ya Madini.
Tukutane Mirerani-Manyara,siku ambayo RC Mnyeti ataunguruma mbele ya Rais wa nchi.
Koo rais anapambana na mangeLabda anataka awapooze wafuasi wa mange wabadili nia.