Rais Magufuli kuzindua ukuta katika migodi ya Tanzanite Mirerani

View attachment 733424
Haya wakuu,ni mwendo wa kuonyesha kazi kwa vitendo,sasa ni uzinduzi wa Ukuta wa Mirerani uliojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa kwa kushirikiana na Wizara ya Madini.

Tukutane Mirerani-Manyara,siku ambayo RC Mnyeti ataunguruma mbele ya Rais wa nchi.
cheupe dawa atakuwepo Kama Waziri wa madini??
 
Aisee Mheshimiwa anapenda kuuza sura kweli....

Nahisi hata vyereheni vinne vikizinduliwa atataka kwenda kuzindua....
 
Hahaha hahaha nimecheka sana yaani ukuta unazunduliwa na rais wa nchi badala ya mkuu wa wilaya ama mkoa?!!! Nchi hii kweli imepatikana
awamu hii atawapoteza wengi hata wale waliowateule ndani ya chama,hachoki anahakikisha kila mradi usomeke umezinduliwa na...............
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom