Kila sehemu anataka ibaki chata yake,hivi huko kusini na MBEYA hawana vya kuzindua aje.Ukuta hata mwenyekiti wa serikali za mitaa anaweza zindua,
Kila sehemu anataka ibaki chata yake,hivi huko kusini na MBEYA hawana vya kuzindua aje.Ukuta hata mwenyekiti wa serikali za mitaa anaweza zindua,
Baada ya ukuta pia atakua Arusha mjini kwa uzinduzi mwingine tarehe 7 April.Hahaha hahaha nimecheka sana yaani ukuta unazunduliwa na rais wa nchi badala ya mkuu wa wilaya ama mkoa?!!! Nchi hii kweli imepatikana
juzi mwenge uliachiliwa mtaani sijui safari hii utazindua nini, naona mkulu kakomaa na vyoteKwani makaravati hayastahili kuzinduliwa na Rais?acheni wivu!
Mzee Gharib BilalHivi wakati wa Kikwete hakukuwa na Miradi? Make sikuwahi kumuona Kikwete Akizindua Miradi.
Hongera kwa vijana wetu wakakamavu wanaostahili heshima ya kipekee.
Nchi imepatwaHahaha hahaha nimecheka sana yaani ukuta unazunduliwa na rais wa nchi badala ya mkuu wa wilaya ama mkoa?!!! Nchi hii kweli imepatikana
Kikwete alikuwa busy na safari za nje kutembeza bakuli, au umesahau mkuu?Hivi wakati wa Kikwete hakukuwa na Miradi? Make sikuwahi kumuona Kikwete Akizindua Miradi.
View attachment 733424
Haya wakuu,ni mwendo wa kuonyesha kazi kwa vitendo,sasa ni uzinduzi wa Ukuta wa Mirerani uliojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa kwa kushirikiana na Wizara ya Madini.
Tukutane Mirerani-Manyara,siku ambayo RC Mnyeti ataunguruma mbele ya Rais wa nchi.
Acha uongo.Hivi wakati wa Kikwete hakukuwa na Miradi? Make sikuwahi kumuona Kikwete Akizindua Miradi.
Yeye ndiye mwenye noti hata akiamua kila cheque inayoanzia milioni 5 ipitie kwake ni sawaZee la kuzindua