Rais Magufuli kuwa mgeni Rasmi kwenye mkutano wa mawakili Afrika Mashariki

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,679
40,931
Rais magufuli atakua mgeni wa heshima katika mkutano wa mwaka wa taasisi ya mawakili ya afrika mashariki, utakaofunguliwa tarehe 25 na kumalizika 26 novemba,2016, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa mwalimu nyerere, hapa Dar Es Salaam.

Mkutano huo utaongozwa kwa theme ifuatayo; enhancing business competition through a greater democratization in East Afrika.

Mawakili wote karibuni!.
 

Attachments

  • AGM_Program_2016.pdf
    505.9 KB · Views: 17
Rais magufuli atakua mgeni wa heshima katika mkutano wa mwaka wa taasisi ya mawakili ya afrika mashariki, utakaofunguliwa tarehe 25 na kumalizika 26 novemba,2016, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa mwalimu nyerere, hapa Dar Es Salaam.

Mkutano huo utaongozwa kwa theme ifuatayo; enhancing business competition through a greater democratization in East Afrika.

Mawakili wote karibuni!.
Mmmh mkuu weka source ya habari yako, na unawakaribisha mawakili wewe kama nani
 
Rais magufuli atakua mgeni wa heshima katika mkutano wa mwaka wa taasisi ya mawakili ya afrika mashariki, utakaofunguliwa tarehe 25 na kumalizika 26 novemba,2016, katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa mwalimu nyerere, hapa Dar Es Salaam.

Mkutano huo utaongozwa kwa theme ifuatayo; enhancing business competition through a greater democratization in East Afrika.

Mawakili wote karibuni!.
You should not invite him if he can dare sign such an oppressive law!
 
Back
Top Bottom