Kumbe barabara ni kwaajili ya viongozi na siyo wananchi na viongozi waoTetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Hizo bara bara zipo nje ya TZ?Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
bora wangenipa mimi ile kazi...Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Nilipomuona tu DC wa Temeke Gondwe yuko busy Kujifanya anatembelea Watu, anasikiliza shida zao, anafoka mbele ya Media huku akiitatua Changamoto zao ila Uso wake ukiwa umejaa Unafiki mtupu nilihisi kuna Jambo linaloendelea huko Temeke.Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.
Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.
Raisi Magufuli shikamoo.
Hayo masaa yakishaisha ndio kila kitu kinakua sawa? Kwanza kahatarisha usalama wa nani hadi Hayo masaa 48 yatumike?Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Jirani na Canossa Sec?Tegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu
Watumishi wa umma wana haki zao, tofauti na mahausigeli mnaowatesa huko majumbani. Mnawatumikisha kingono na mishahara hamuwalipi kwa wakat et mnawatunzia.Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.
Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Sijambo rais jiweMarahaba hujambo
Marahaba kwa niaba. Nasi tunataka aje tegeta alipoomba sana kula aone uongo Wa gwajiboy barabara mbovu sana kuliko kipindi cha halima
Siyo "kula" × ni kura√Marahaba kwa niaba. Nasi tunataka aje tegeta alipoomba sana kula aone uongo Wa gwajiboy barabara mbovu sana kuliko kipindi cha halima
Elimu sasa hivi ni bure, rudi shule ukajifunze kuandika, ukiweza uje ujadiliane na wanaume hapa jukwaani.Mjinga na mpumbavu nibwewe unayetetea wanya ujinga, kuna wajinga hawawajibiki hadi wasikie rais anakuja.
Sababu ni simple: watanzania tumejenga tabia na utamaduni wa uzembe na ubabaishaji, vimetukaa sana kiasi kwamba tunaona hayo ndiyo maisha ya kawaida. Watu hawafanyi kazi bila kusukumwa, watu wako maofisini kupiga madili tu, siyo kufanya kazi. Hayo ndiyo maisha yetu na umekuwa ndiyo utamaduni wetu. Bila sisi wenyewe kubadilika, tutaendelea kumlaumu Magu, na mwishoe atatuacha hivyo hivyo tuendelee na ubabaishaji wetu. Too bad 😢Maybe my understanding is shallow,
But kwa mimi hili si jambo la kufurahia na kutoa heko,
Ni jambo la kusikitisha sana tena SANA.
Yaani baada ya 5 years still kuwe na ishu za kazi za kushtukizana kisa flani anakuja wakati ilbidi by now tuwe na mfumo unaoeleweka hata mtu asipoenda eneo hilo kazi ziwe znafanyika kwa efficiency kama kawa
Kwahiyo unataka DC akikohoa utaalam ukae pembeni⁉️⁉️⁉️😤Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake
Shida ni uelewa wako mdogo. Kwanini mnasubiri ujio wa Rais ndio muanze kutengeneza barabara? Mnajua Rais akija atawasambaratisha. Hiyo tabia ya kivivu ndio inaligharimu hili Taifa. Wachache sana wako proactive. Wengine ni kuhudhuria kazini hawajui hata wanafanya nini. Wanasubiri mkubwa aje ndio wanahangaika. tabia mbaya sana hiyokwani barabara zinazojegwa za kuhudumia kuku?
Unasifia ujinga, badala atengeneze mifumo imara ya kusimamia uwajibikaji, kila kitu kinasubiri mpaka yeye aende, halafu nyie wajinga mnabaki kuleta propaganda za kitoto kuwa rais kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma. Kwahiyo sehemu ambazo rais hatatembelea ni sawa kuendelea kuwa na matatizo?
Watendaji wa serikali wengi hawako makini
Mfereji upi?Mzee baba upo...inabidi magu akawaguse wale wachina wanaojenga ule mfereji kihuni
Erythrocyte
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app