Rais Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki, barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana

Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.
Kumbe barabara ni kwaajili ya viongozi na siyo wananchi na viongozi wao
 
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.
Hizo bara bara zipo nje ya TZ?
 
Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.

Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
bora wangenipa mimi ile kazi...
Kuna baadhi ya washenzi wana vyeo humo lakini hawana protocol za kiutumishi kabisa + maadili. Bogus kabisa!
 
Tetesi za Raisi Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana nyingi zilikuwa mbovu na midimbwi kibao nimepita leo Tandika nikashangaa nikaambiwa kuna tetesi Rais atatembelea Temeke.

Watendaji ofisini hawaonekani wanashinda site kusimamia kazi.

Raisi Magufuli shikamoo.
Nilipomuona tu DC wa Temeke Gondwe yuko busy Kujifanya anatembelea Watu, anasikiliza shida zao, anafoka mbele ya Media huku akiitatua Changamoto zao ila Uso wake ukiwa umejaa Unafiki mtupu nilihisi kuna Jambo linaloendelea huko Temeke.

Asichokijua tu DC Gondwe ni kwamba Bosi wake ana aina mbili ya Wanyetishaji wake wale wanaojulikana na wengi wa Jengo Tai Oysterbay Makao na wale wengine wa Kificho hivyo tayari Mzee ( Boss ) wake ana Taarifa za Kutosha za huko Temeke kuliko zile alizonazo Yeye ( DC Gondwe )

Huwa nachukia mno Uwajibikaji huu wa Kinafiki na wa Kusubiria au Kuvizia hadi Mkubwa afanye Ziara yake mahala husika ndipo Maendeleo nayo yanaanza Kufanywa ( Kufanyika )

Upuuzi mtupu...!!!
 
Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.

Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Hayo masaa yakishaisha ndio kila kitu kinakua sawa? Kwanza kahatarisha usalama wa nani hadi Hayo masaa 48 yatumike?
 
Natamani akitua tuu aondoke na yule mtaalam aliye kuwa ana bishana na Dc Gondwe kama mchumba wake. Nilijisikia vibaya sana alivyo kuwa ana jibizana na Dc. Hana heshima kabisa.

Natamani angeingia ang aza Sabaya au Kennan unge kuta ndio ana malizi amalizia masaa yake 48. Na kazi sio wilayani kwake tena.
Watumishi wa umma wana haki zao, tofauti na mahausigeli mnaowatesa huko majumbani. Mnawatumikisha kingono na mishahara hamuwalipi kwa wakat et mnawatunzia.
 
Mjinga na mpumbavu nibwewe unayetetea wanya ujinga, kuna wajinga hawawajibiki hadi wasikie rais anakuja.
Elimu sasa hivi ni bure, rudi shule ukajifunze kuandika, ukiweza uje ujadiliane na wanaume hapa jukwaani.
 
Barabara za dmdp kwa temeke no kichefuchefu!! Very poor design, mfano barabara ya temeke mwisho sokota, Machinjioni chang'ombe na kwingineko kwa dmdp no shida!! Mhandisi mshauri aangaliwe kwa kutotumia utaalamu!! Karuhusu uwekaji wa chuma katikati ya barabara ilihali akijua hazina rust protection na zitagongwa na pia kuoza chini ya mwaka mmoja!! Huu no ushauri mbovu sana!! Aje ajifunze Shekilango road!! Same scope
 
Maybe my understanding is shallow,
But kwa mimi hili si jambo la kufurahia na kutoa heko,
Ni jambo la kusikitisha sana tena SANA.
Yaani baada ya 5 years still kuwe na ishu za kazi za kushtukizana kisa flani anakuja wakati ilbidi by now tuwe na mfumo unaoeleweka hata mtu asipoenda eneo hilo kazi ziwe znafanyika kwa efficiency kama kawa
Sababu ni simple: watanzania tumejenga tabia na utamaduni wa uzembe na ubabaishaji, vimetukaa sana kiasi kwamba tunaona hayo ndiyo maisha ya kawaida. Watu hawafanyi kazi bila kusukumwa, watu wako maofisini kupiga madili tu, siyo kufanya kazi. Hayo ndiyo maisha yetu na umekuwa ndiyo utamaduni wetu. Bila sisi wenyewe kubadilika, tutaendelea kumlaumu Magu, na mwishoe atatuacha hivyo hivyo tuendelee na ubabaishaji wetu. Too bad 😢
 
kwani barabara zinazojegwa za kuhudumia kuku?
Shida ni uelewa wako mdogo. Kwanini mnasubiri ujio wa Rais ndio muanze kutengeneza barabara? Mnajua Rais akija atawasambaratisha. Hiyo tabia ya kivivu ndio inaligharimu hili Taifa. Wachache sana wako proactive. Wengine ni kuhudhuria kazini hawajui hata wanafanya nini. Wanasubiri mkubwa aje ndio wanahangaika. tabia mbaya sana hiyo
 
Unasifia ujinga, badala atengeneze mifumo imara ya kusimamia uwajibikaji, kila kitu kinasubiri mpaka yeye aende, halafu nyie wajinga mnabaki kuleta propaganda za kitoto kuwa rais kurudisha uwajibikaji kwenye ofisi za umma. Kwahiyo sehemu ambazo rais hatatembelea ni sawa kuendelea kuwa na matatizo?
 
Aje aone,kata mbagala, uwanja umenunuliwa kwa pesa nyingi, ijengwe sekondari ya kata, hadi leo kizungu mkuti, wataalam wanasema hapafai kujengwa shule eneo hilo,manispaa Temeke waliponunua hawakujua hilo.!!!
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom