Rais Magufuli kushangiliwa kwa nguvu A. Kusini ina maana gani kwa CHADEMA?

Hata kama CHADEMA wanafanya upuuzi, siyo sawa kuandika huu ujinga wako maana siyo uzalendo.
Ukae ukijua kwamba Taifa la Tanzania linaheshimika sana Afrika Kusini kwa kuwa tuliwakomboa.
Pia Magufuli ni rais wetu wote, na siyo wa CCM pekee hata hao Chadema, JPM ni rais wao.
Kwa hiyo, si busara kuuliza eti Chadema wanachukuliaje Magu kushangiliwa, Bali, ungeuliza Watanzania tunachukuliaje.
Sasa Magu ni Icon wa Taifa letu, iweje kushangiliwa kwake kuanze kutufarakanisha?
Umemjibu vema sana. Hata kama Tanzania ingekuwa imewakilishwa na Kingwendu, kwa South Africa angeshangiliwa sana tuu kwa vile ametoka Tanzania
 
Naona UDOM wametuweka wazi kuhusiana na "kideo" cha Askofu kuwa ni mambo ya teknolojia,kiasi cha kuiasa dunia ya sasa kuwa kuna umuhimu ya kuwa na jeshi la mtandaoni:)
 

Attachments

  • Bishop Gwajima-Analysis.pdf
    577.4 KB · Views: 34
Tatizo la waafrika wengi akili zetu zipo upande wa kushoto, Tunapenda viongozi waongo kuliko wakweli. Weka video tuone hilo shangwe


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Angezomewa ungwasifu akili ilivyo ya kichawi
 
Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini , lakini mara baada ya jina la rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana!

View attachment 1107530

Hii ina maanisha nini kwa Lisu na Chadema kwa ujumla ambao wanashinda mitandaoni na kuzurura mataifa mbalimbali kumchafua rais wetu?

Siyo siri tena rais Magufuli anakubalika Tanzania na duniani kote.

======

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Chanzo: Mpekuzihuru
Mti wenye matunda ni lazima upigwe mawe,achana na CDM mkuu,hawana dili wala jipya.Madongo wanayomtupia Rais wetu ni kujaribu kuhalalisha uwepo wao,ambao haupo tena.Rais Magufuli ni kipenzi cha yeyote anayeitakia Tanzania na dunia maendeleo ya kweli.
 
Hivi mleta uzi unapouliza kuwa tukio hilo lina maana gani kwa Lisu na Chadema, Kwani raia wa Afrika kusini ndio wanachama wa chadema?! Kwanini usiseme inamaanisha nini kwa ANC au hata EFF?! Kweli maajabu hayatakaa yaishe duniani.
 
Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini , lakini mara baada ya jina la rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana!

View attachment 1107530

Hii ina maanisha nini kwa Lisu na Chadema kwa ujumla ambao wanashinda mitandaoni na kuzurura mataifa mbalimbali kumchafua rais wetu?

Siyo siri tena rais Magufuli anakubalika Tanzania na duniani kote.

======

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Chanzo: Mpekuzihuru

Hii inamaanisha kuwa JPM ndo Rais wa 2015-2025.....Viva JPM
 
Vijana wa mataga wamekosa hoja wanabaki kushabikia ushoga na mambo ya kijinga jinga
 
Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini , lakini mara baada ya jina la rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana!

View attachment 1107530

Hii ina maanisha nini kwa Lisu na Chadema kwa ujumla ambao wanashinda mitandaoni na kuzurura mataifa mbalimbali kumchafua rais wetu?

Siyo siri tena rais Magufuli anakubalika Tanzania na duniani kote.

======

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Chanzo: Mpekuzihuru
Nina uhakika wewe na m8mi tulikuwa tunaangalia kwenye tv na hatukuwa SA kwenye hii sherehe mbona kama naona ni upande mmoja tuu ulikuwa unashangilia na washangiliaji waliwashangilia wageni wote waalikwa, mruhusuni tundu lissu aende kama SA haikuzizima
 
Hata kama CHADEMA wanafanya upuuzi, siyo sawa kuandika huu ujinga wako maana siyo uzalendo.
Ukae ukijua kwamba Taifa la Tanzania linaheshimika sana Afrika Kusini kwa kuwa tuliwakomboa.
Pia Magufuli ni rais wetu wote, na siyo wa CCM pekee hata hao Chadema, JPM ni rais wao.
Kwa hiyo, si busara kuuliza eti Chadema wanachukuliaje Magu kushangiliwa, Bali, ungeuliza Watanzania tunachukuliaje.
Sasa Magu ni Icon wa Taifa letu, iweje kushangiliwa kwake kuanze kutufarakanisha?

Jamaa anayezungumzia mambo ya Kimataifa anaingiza chama cha upinzani ndani ni akili finyo, reasoning capacity kuna walaakini(IQ)! Ushaona Kenya au Uganda wakizingumza mambo ya ODM(Kenya) FDC(Uganda) wakati wa Marais wao wapo nje ya nchi!! Hujui kukandia namna hiyo ni kuchafua sifa ya Tanzania nchi za nje?!!!what a shame, msirudie tena dhambi hii ya kuchafua taifa yaani kuonyesha wazi taifa kuwa kuna tatizo ndani nchi kumbe hao ni watoto wa familia moja wanacheza mchezo wa rede!hawagombani!
 
Back
Top Bottom