Rais Magufuli kushangiliwa kwa nguvu A. Kusini ina maana gani kwa CHADEMA?

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019
Najiuliza kama tusingekuwa na vyombo vya mawasiliano tungesikia nini!

Hii ni exaggerations kubwa sana. Wafalme na viongozi wote walipata shangwe akiwemo De Klerk ambaye kulikuwa na sauti za zomea kidogo. Kwa ujumla Marais wote walishangiliwa

Ukiliacha jambo likatokea kwa njia za asili linakuwa bora zaidi kuliko jambo la kubumba

Ni jambo jema Rais wetu amehudhuria sherehe hizo.

Lakini pia kuna wakati maneno na exaggerations zinaweza kuwarudi wanaozieneza

Tuliambiwa kutosafiri ni kupunguza gharama. Sina uhakika kutumia dege la ATC kumesaidia gharama hasa ukilinganisha na ndege ya abiria kwa first au Business class kwa watu wachache kwani Ubalozi wetu na SA ungeratibu ziara nzima

Kesho kuna mtu atatupa excuse za gharama kwa mfano kutohudhuria SADC n.k.?

Wachumi watusaidie maana wengine namba zinatuchanganya, hasa 6 na 9 au 7 na L

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3 tindo
 
Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini , lakini mara baada ya jina la rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana!

View attachment 1107530

Hii ina maanisha nini kwa Lisu na Chadema kwa ujumla ambao wanashinda mitandaoni na kuzurura mataifa mbalimbali kumchafua rais wetu?

Siyo siri tena rais Magufuli anakubalika Tanzania na duniani kote.

======

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Chanzo: Mpekuzihuru
Yeyote anayetoka Tanzania angeshangiliwa na hii ni kutokana na ushiriki wa Tanzania katika kuupiga vita ubaguzi wa rangi. Wengine kule wanaijua zaidi TANZANIA kuliko mtu mmoja mmoja kutoka Tanzania.
 
Sasa akishangiliwa huko South Afrika inatatuaje umaskini uliogubika asilimia kubwa ya watanzania ambao hawawezi hata kula milo miwili kwa siku?
 
Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini , lakini mara baada ya jina la rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana!

View attachment 1107530

Hii ina maanisha nini kwa Lisu na Chadema kwa ujumla ambao wanashinda mitandaoni na kuzurura mataifa mbalimbali kumchafua rais wetu?

Siyo siri tena rais Magufuli anakubalika Tanzania na duniani kote.

======

Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019

Chanzo: Mpekuzihuru
Ilishangiliwa Tanzania, hakushangiliwa JPM mnatia aibu sana!
 
Nakumbuka Jakaya pia aliwahi shangiliwa sana na hotuba yake ili miongoni mwa hotuba bora katika tukio lile,Aliwakumbusha mchango wa Tanzânia kwa SA. aliwarudishia viatu vya Mandela alivyosahau dar katika safari yake ya mwisho kabla ya kufungwa.kwa kiongozi wa tanzania kushangiliwa ni kawaida heshima iliyojengwa kitambo. Ila angehutubia angashengiliwa zaidi. Asante jpm kwa kuwakilisha tz
 
Nakumbuka Jakaya pia aliwahi shangiliwa sana na hotuba yake ili miongoni mwa hotuba bora katika tukio lile,Aliwakumbusha mchango wa Tanzânia kwa SA. aliwarudishia viatu vya Mandela alivyosahau dar katika safari yake ya mwisho kabla ya kufungwa.kwa kiongozi wa tanzania kushangiliwa ni kawaida heshima iliyojengwa kitambo. Ila angehutubia angashengiliwa zaidi. Asante jpm kwa kuwakilisha tz
Hata mbowe alishangiliwa pia
 
Back
Top Bottom