Kwani Lowassa si CCM B? Unafikiri alitoka CCM!Husiwalinganishe lowasa na maccm
Mkuu hapo tena tbc wakose?
Huyu si JK. Huyu Rais wetu ni mkweli na ni muadilifu. Huwa napenda sana hotuba zake hasa pale ninapojiuliza tunaenda basi huwa zinanirudisha kwenye mstari wa matumaini.Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
....si ni kawaida! Hata dr slaa kabla "hajapigwa ngwara" si aliongea nao, akafanyiwa na tambiko lililomtia laana....masai nae si alibwabwaja mbele yao juzi katiMtoa mada haujielew nini
Ulitaka asiongee na wazee aje kuongea na wewe
Yaani buana wana UKAWA sometimes sijui huwa tunafikiria na makitu gani
Vipi mumeo mzee kagenzi atakuwepo?Wewe Bavicha ulitaka aongee na wazee wa moshi? Kuna shida gani Rais kuongea na wazee?
Lakini uzee mwisho chalinze,..Ccm ni ileile eeeeee ni ile ile....... Mmeipenda wenyewe tararaaa.....
Wazee wapo Dar tu. Kwingine vijikongwe vtajiju.
Vijana mtajiju