Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Rais Magufuli kuongea na Wazee wa Dar

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo unalazimisha aongee na wazee wa moshi?
Siku akiongea na wazee wa moshi utajua tu, ila huo ubaguzi wa kuwabagua watu wa moshi ukome kabisa maana kukosa ubunge siyo ajabu
 
Mbona Bwana Lowasa aliongea na wazee wa UKAWA juzi tu. Vijana Mna matatizo Sugu sana.
Lowasa in wa Chadema lakini JPM sasa hivi ni wa TZ na anafanya kazi ya nchi na kuwajibika kwa nchi sio kwa chama chake pekee
 
Unajuwa hawa watu hawana ushauri makini.Sio aongee na wazee wa DSM waseme anaongea na wazee wa nchi hii.
Then wapige marufuku manguo ya kijani mule ndani,Wananchi wengi wakiziona zile rangi wanaugua.
Mkuu wanaugua ugonjwa gani tena huo ni mpya nini?
 
Ni maadhimisho ya siku zake 100 akiwa Ikulu. Ataongea na watanzania kupitia wazee wa Dar.

Utaratibu huu wa Rais kuongea na wazee kwa niaba ya wengine umeasisiwa na akina Nyerere, hawa wanaendeleza tu.

Kwa sababu wazee ni kundi lililochoka (weakest link). Hapo atajimwaga, na wengine watakuwa wameuchapa usingizi na wengine ni kupiga makofi.
Nasikia hakutakuwa na bahasha za khaki,sijui kama watamuelewa
 
Mbona Bwana Lowasa aliongea na wazee wa UKAWA juzi tu. Vijana Mna matatizo Sugu sana.
Ni kweli Mkuu. Hawa UKAWA kweli ni UKIWA sasa hivi! Wamesahau kabisa kuwa EL aliongea na wazee wa UKAWA hivi karibuni!
 
Rais magufuli kesho ataongea na wazee wa mkoa wa dsm kuanzia saa 8 mchana diamond jubilee, yale yale ya jk yameanza
Mbona hujiulizi wiki iliyopita babu yenu Lowassa aliongea na wazee wa ubungo? Magufuli kwa kuwa ni rais ndo maana anaongea na wazee wa Jiji zima. Alafu wakati mwingine ukikosa la kuandika humu Jf si dhambi kuchangia ya wengne kwani sioni athali ya rais kukutana na wazee.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom