Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,858
Tutegemee kauli za kumtetea Bashite.
Kuna vitu havina tija ktk baadhi ya topic humu!Hatutaki huo upuuzi..
Taarifa tunayoitaka kutoka Ikulu ni ya kusema amemtimua huyu mwizi wa vyeti Daudi Albert Bashite...
Basi.
AndamaneniHatutaki huo upuuzi..
Taarifa tunayoitaka kutoka Ikulu ni ya kusema amemtimua huyu mwizi wa vyeti Daudi Albert Bashite...
Basi.
Tunaona utendaji kazi wa rais wetu. Gharama ni kodi zetumsafara unatusaidia sisi nini.? kwa gharama za nani..?
Vipi mkuu mwenyekiti wetu anavyo vyeti?Hata aende Lindi kwa miguu tunataka hili la vyeti likae wazi kuhusu Makonda
Mkuu kama kumbukumbu zinaonesha alishaenda Arusha kitambo tu.Mbona Arusha, Kilimanjaro, manyara, na Tanga haendi kunani huko
Tauheed inatuambia mkamilifu ni Allah.... Hata ayatul Qursy Allah anajinasibu hivyo.... Nakukumbusha tu mama yng.= waliovifilisi
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kuna wakati tuache kuchanganya mamboHatutaki huo upuuzi..
Taarifa tunayoitaka kutoka Ikulu ni ya kusema amemtimua huyu mwizi wa vyeti Daudi Albert Bashite...
Basi.
Huko wenzetu wa janja na wanajitambua sisi watu wa mikoa ya lindi na mtwara hajujitambui... Nina video ya issue ya gas hakika ndg zetu walipigwa km nao walikuwa na siraha ila ujaguzi ulipo wadia tuliwapa kura Chama tawala .... Ngoja tuone safari yake labda itakuwa tofauti na watangulizi wake.... Insha Allah asafiri salama.Mbona Arusha, Kilimanjaro, manyara, na Tanga haendi kunani huko
We utakuwa mwalimu wa jf= waliovifilisi
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
maji tu ndo mabaya pangekuwa na maji mazuri waooo pako bombaLindi ni pazuri sana wakuu!
Leteni vyeti vya daudi bashite ubabe hausaudiiiHatutaki wewe na nani????
Mpu.uuzi mkubwa
Mko wangapi msiotaka. Au ni wewe nakijambio chako tu... M##""$$@*@ ...kaoge wewe huna hayaHatutaki huo upuuzi..
Taarifa tunayoitaka kutoka Ikulu ni ya kusema amemtimua huyu mwizi wa vyeti Daudi Albert Bashite...
Basi.
Wana beach nzuri tu halafu vi gesti vyao bei rahisi kweli! Mji mzima hoteli ya maana ni moja tu!maji tu ndo mabaya pangekuwa na maji mazuri waooo pako bomba
Wana beach nzuri tu halafu vi gesti vyao bei rahisi kweli! Mji mzima hoteli ya maana ni moja tu!