Rais Magufuli kufanya ziara mkoani Lindi

Rais Magufuli kufanya ziara mkoani Lindi

Kwahio nyie bavicha mkikubaluana misimamo yenu mnaigeneralise???

Maana wahun tu walau viroba vimekatazwa mtakuwa mnajadili mambo ya msingi humu
Mkikubaluana=mkikubaliana

Ujinga ujinga ujinga

Baada ya Daudi Bashite(Lizabon) anayefuata atakua wewe
 
kusini kuzuri. ELIMU HUKO NI 0........MITIHANI YA KIDATO CHA PILI MWAKA JANA, KUSINI ILIPATA SHULE 10 ZA MWISHO
 
Magu oyeèèeeee mdogo mdogo wataelewa tu pia kazi nchi hii ilupinda inyooosheee
 
Ni zaidi ya kaskazini?

Kama anatafuta uzuri mbona huku haendi?

Magufuli PHD fake

Daudi Bashite foji foji vyeti

Yaani tunaongozwa na watu fake fake ndio maana mahakama zinatoa hukumu fake fake

TRA mashtaka na ushuru fake fake

Kuhamia Dodoma fake fake kila siku tuko Dar sijui tumehama nini

Kupandishwa vyeo fake fake kama hao maaskari tuu ndio wanastahili

Ninaandika kwa uchungu maana hata sasa kachaguliwa Salma Kikwete kuendeleza huu u-fake fake

Mungu njoo sasa tumechoka
Hivi mwenyekiti wenu alipata ngapi mtihani wa darasa la kumi na mbili?
 
Mwenye ushahidi wa vyeti aende mahakamani sio kueneza uongo wenu kwenye mitandao.faida ya mwongo ni mauti tu.
Yeye huyo Bashite alikua na ushaidi gani juu ya gwajima dhidi ya madawa ya kulevya alikua anaeneza uongo kwenye mitandao kwa faida yanani?Faida yamuongo ni mauti tu na bashite atapata umauti au?
 
matangazo LIVE muda huu wa kazi sio sawa. tupo kazini. hao TBC warekodi hiyo ziara kisha waturushie saa nne usiku
 
Ni zaidi ya kaskazini?

Kama anatafuta uzuri mbona huku haendi?

Magufuli PHD fake

Daudi Bashite foji foji vyeti

Yaani tunaongozwa na watu fake fake ndio maana mahakama zinatoa hukumu fake fake

TRA mashtaka na ushuru fake fake

Kuhamia Dodoma fake fake kila siku tuko Dar sijui tumehama nini

Kupandishwa vyeo fake fake kama hao maaskari tuu ndio wanastahili

Ninaandika kwa uchungu maana hata sasa kachaguliwa Salma Kikwete kuendeleza huu u-fake fake

Mungu njoo sasa tumechoka


MEZA WEMBE NA MBOWE WAKO UKITAKA, MAGUFULI MBELE KWA MBELE, AU JINYONGE, AU NENDA NCHI ZA JIRANI MKAENDELEE NA VIROBA, UJANGILI NA UFISADI WENU
 
cha msingi atimize ahadi zake. alihaidi kuboresha maslahi ya wafanyakazi, lakini mpaka leo wafanyakazi wanapumulia mashine....
 
Mwenye ushahidi wa vyeti aende mahakamani sio kueneza uongo wenu kwenye mitandao.faida ya mwongo ni mauti tu.

kwaiyo wale ambao walipotelewa na vyeti wamesimamishwa kazi nani alienda mahakamani? acha uduwanzi bana msitetee hata ujinga
 
Back
Top Bottom