Na mabalozi pia hawatishwi na kichaa yeyoteRais wa Tanzania ndugu John Pombe Magufuli amemtaka Balozi wa Uingereza hapa nchini akawaeleze mabalozi wenziye hasa wanaopenda ku-tweet tweet kwamba Tanzania ni nchi huru na inayojiamulia mambo yake yenyewe na kamwe haiyumbishwi na haitayumbishwa na yeyote!
Pia, amempongeza Balozi huyo wa Uingereza kwa namna anavyotimiza majukumu yake hapa nchini kwa weredi na ndivyo wawakilishi nchi nyingenezo hapa nchini wanapaswa wawe