jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Tuweke uvyama, ushabiki na wivu pembeni. Rais JPM,
1. Ametoa wafanyakazi hewa 17,000 na zoezi linaendelea;
2. Amenunua ndege nzuri mbili aina ya Bombardier;
3. Fly- over TAZARA imeanza
4. Barabara ya airport Mwanza imejengwa;
5. Amesitisha sherehe zisizo na tija, zinazoleta hasara;
6. Ameunda Baraza dogo la Mawaziri;
7. Hasafiri sana nje ya nchi na hapendi viongozi wengine wapishane angani kama kumbikumbi;
8. Amewatumbua vigogo wengi wenye kasoro mchana kweupe,mara nyingi weekend;
9. Heshima na nidhamu kazini na mtaani imerudi kwa kasi;
10. Anapenda Tanzania ya viwanda na tumeshuhudia marais karibu 7 wakitiliana mikataba mbalimbali na serikali yetu,hasa ya viwanda;
11. Vijana wengi wameteuliwa katika nyadhifa mbalimbali za uongozi kama ma-DED,DC,RC,DAS etc
13. Hakuna kelele za upinzani kwa kuwa anatekeleza mambo mengi kwa wakati;
14. Ni rais wa watu na wa wanyonge;
15. Serikali kuhamia Dodoma;
16. Ameziba mianya mingi sana ya rushwa na MENGINEYO MENGI SANAAAA.
N.B
1. Suala la mishahara kupanda kwa watumishi wa umma lipo palepale. Rais hawez kuziba mianya ya rushwa na kuongeza mapato serikalini halafu mishahara isipande.
2. Fedha utashuka chini kwa mfumo wa miradi mingi itakayojengwa na inayoendelea kujengwa.Miradi ya ujenzi huajiri watu wengi sana.
Huduma za afya,maji, kilimo na zinginezo zitashughulikiwa kwa kuwa ameonesha nia na ameanza.
Tusimbeze rais wetu, tuwe na subira.Tuendelee kumwombea president wetu.
1. Ametoa wafanyakazi hewa 17,000 na zoezi linaendelea;
2. Amenunua ndege nzuri mbili aina ya Bombardier;
3. Fly- over TAZARA imeanza
4. Barabara ya airport Mwanza imejengwa;
5. Amesitisha sherehe zisizo na tija, zinazoleta hasara;
6. Ameunda Baraza dogo la Mawaziri;
7. Hasafiri sana nje ya nchi na hapendi viongozi wengine wapishane angani kama kumbikumbi;
8. Amewatumbua vigogo wengi wenye kasoro mchana kweupe,mara nyingi weekend;
9. Heshima na nidhamu kazini na mtaani imerudi kwa kasi;
10. Anapenda Tanzania ya viwanda na tumeshuhudia marais karibu 7 wakitiliana mikataba mbalimbali na serikali yetu,hasa ya viwanda;
11. Vijana wengi wameteuliwa katika nyadhifa mbalimbali za uongozi kama ma-DED,DC,RC,DAS etc
13. Hakuna kelele za upinzani kwa kuwa anatekeleza mambo mengi kwa wakati;
14. Ni rais wa watu na wa wanyonge;
15. Serikali kuhamia Dodoma;
16. Ameziba mianya mingi sana ya rushwa na MENGINEYO MENGI SANAAAA.
N.B
1. Suala la mishahara kupanda kwa watumishi wa umma lipo palepale. Rais hawez kuziba mianya ya rushwa na kuongeza mapato serikalini halafu mishahara isipande.
2. Fedha utashuka chini kwa mfumo wa miradi mingi itakayojengwa na inayoendelea kujengwa.Miradi ya ujenzi huajiri watu wengi sana.
Huduma za afya,maji, kilimo na zinginezo zitashughulikiwa kwa kuwa ameonesha nia na ameanza.
Tusimbeze rais wetu, tuwe na subira.Tuendelee kumwombea president wetu.