Rais Magufuli is very strategic

Rais Magufuli is very strategic

Ametoa watumishi hewa 17,000 na ameajiri hewa 5000! Unaangalia vitu ving vdogovdogo wakati kuna kimoja kinaua vyote, AJIRA KWA VIJANA,ANALUNDIKA WATU MTAAN ANATA WAFANYE KAZI JE WAIBE? Wengne kawasitishia ajira zao miez 5 sasa unafkr hata wanaona hayo mazuri ake? Wanafunzi wamekosa mikopo je wanafaida gani na ndege au kuhamia dodoma? Kufanya tathmn kwa kuangalia upande mmoja ni ufala!
 
Tuweke uvyama, ushabiki na wivu pembeni. Rais JPM,

1. Ametoa wafanyakazi hewa 17,000 na zoezi linaendelea;

2. Amenunua ndege nzuri mbili aina ya Bombardier;

3. Fly- over TAZARA imeanza

4. Barabara ya airport Mwanza imejengwa;

5. Amesitisha sherehe zisizo na tija, zinazoleta hasara;

6. Ameunda Baraza dogo la Mawaziri;

7. Hasafiri sana nje ya nchi na hapendi viongozi wengine wapishane angani kama kumbikumbi;

8. Amewatumbua vigogo wengi wenye kasoro mchana kweupe,mara nyingi weekend;

9. Heshima na nidhamu kazini na mtaani imerudi kwa kasi;

10. Anapenda Tanzania ya viwanda na tumeshuhudia marais karibu 7 wakitiliana mikataba mbalimbali na serikali yetu,hasa ya viwanda;

11. Vijana wengi wameteuliwa katika nyadhifa mbalimbali za uongozi kama ma-DED,DC,RC,DAS etc

13. Hakuna kelele za upinzani kwa kuwa anatekeleza mambo mengi kwa wakati;

14. Ni rais wa watu na wa wanyonge;

15. Serikali kuhamia Dodoma;

16. Ameziba mianya mingi sana ya rushwa na MENGINEYO MENGI SANAAAA.

N.B

1. Suala la mishahara kupanda kwa watumishi wa umma lipo palepale. Rais hawez kuziba mianya ya rushwa na kuongeza mapato serikalini halafu mishahara isipande.

2. Fedha utashuka chini kwa mfumo wa miradi mingi itakayojengwa na inayoendelea kujengwa.Miradi ya ujenzi huajiri watu wengi sana.

Huduma za afya,maji, kilimo na zinginezo zitashughulikiwa kwa kuwa ameonesha nia na ameanza.

Tusimbeze rais wetu, tuwe na subira.Tuendelee kumwombea president wetu.
Crap of the highest order!
 
Tuweke uvyama, ushabiki na wivu pembeni. Rais JPM,

1. Ametoa wafanyakazi hewa 17,000 na zoezi linaendelea;

2. Amenunua ndege nzuri mbili aina ya Bombardier;

3. Fly- over TAZARA imeanza

4. Barabara ya airport Mwanza imejengwa;

5. Amesitisha sherehe zisizo na tija, zinazoleta hasara;

6. Ameunda Baraza dogo la Mawaziri;

7. Hasafiri sana nje ya nchi na hapendi viongozi wengine wapishane angani kama kumbikumbi;

8. Amewatumbua vigogo wengi wenye kasoro mchana kweupe,mara nyingi weekend;

9. Heshima na nidhamu kazini na mtaani imerudi kwa kasi;

10. Anapenda Tanzania ya viwanda na tumeshuhudia marais karibu 7 wakitiliana mikataba mbalimbali na serikali yetu,hasa ya viwanda;

11. Vijana wengi wameteuliwa katika nyadhifa mbalimbali za uongozi kama ma-DED,DC,RC,DAS etc

13. Hakuna kelele za upinzani kwa kuwa anatekeleza mambo mengi kwa wakati;

14. Ni rais wa watu na wa wanyonge;

15. Serikali kuhamia Dodoma;

16. Ameziba mianya mingi sana ya rushwa na MENGINEYO MENGI SANAAAA.

N.B

1. Suala la mishahara kupanda kwa watumishi wa umma lipo palepale. Rais hawez kuziba mianya ya rushwa na kuongeza mapato serikalini halafu mishahara isipande.

2. Fedha utashuka chini kwa mfumo wa miradi mingi itakayojengwa na inayoendelea kujengwa.Miradi ya ujenzi huajiri watu wengi sana.

Huduma za afya,maji, kilimo na zinginezo zitashughulikiwa kwa kuwa ameonesha nia na ameanza.

Tusimbeze rais wetu, tuwe na subira.Tuendelee kumwombea president wetu.

Wanaompinga JPM wanasababu za kikabila zaidi sio utaifa

Washindwe na walegee
 
Mkuu,swala la bukoba Rais na safu yake amelihandle vzr sana.Lilikuwa la kitaifa na la kimataifa.

Mpaka lilitumbua DED na RAS.

Rais siyo wa mchezo mchezo.

Ajira zitamwagika kama njugu.
Iyo nyimbo ya frofesa j ajira zitamwagika kama njugu mabomba ya tatoa maziwa na maji kila baa median atamiliki benzi
 
Tuweke uvyama, ushabiki na wivu pembeni. Rais JPM,

1. Ametoa wafanyakazi hewa 17,000 na zoezi linaendelea;

2. Amenunua ndege nzuri mbili aina ya Bombardier;

3. Fly- over TAZARA imeanza

4. Barabara ya airport Mwanza imejengwa;

5. Amesitisha sherehe zisizo na tija, zinazoleta hasara;

6. Ameunda Baraza dogo la Mawaziri;

7. Hasafiri sana nje ya nchi na hapendi viongozi wengine wapishane angani kama kumbikumbi;

8. Amewatumbua vigogo wengi wenye kasoro mchana kweupe,mara nyingi weekend;

9. Heshima na nidhamu kazini na mtaani imerudi kwa kasi;

10. Anapenda Tanzania ya viwanda na tumeshuhudia marais karibu 7 wakitiliana mikataba mbalimbali na serikali yetu,hasa ya viwanda;

11. Vijana wengi wameteuliwa katika nyadhifa mbalimbali za uongozi kama ma-DED,DC,RC,DAS etc

13. Hakuna kelele za upinzani kwa kuwa anatekeleza mambo mengi kwa wakati;

14. Ni rais wa watu na wa wanyonge;

15. Serikali kuhamia Dodoma;

16. Ameziba mianya mingi sana ya rushwa na MENGINEYO MENGI SANAAAA.

N.B

1. Suala la mishahara kupanda kwa watumishi wa umma lipo palepale. Rais hawez kuziba mianya ya rushwa na kuongeza mapato serikalini halafu mishahara isipande.

2. Fedha utashuka chini kwa mfumo wa miradi mingi itakayojengwa na inayoendelea kujengwa.Miradi ya ujenzi huajiri watu wengi sana.

Huduma za afya,maji, kilimo na zinginezo zitashughulikiwa kwa kuwa ameonesha nia na ameanza.

Tusimbeze rais wetu, tuwe na subira.Tuendelee kumwombea president wetu.
We umekosa kazi yakufanya sema rais wako nasio rais wa watu... Mbn ela za waanga watetemeko hujasema alizikwapua
 
Naunga mkono hoja, JPM is very strategic, hasa jinsi alivyofanikiwa "kurara mbere" na wale waliochelewesha hela za mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu kama alivyoahidi kipindi cha kampeni. Hii naisema kutoka katika "dhati ya moyo wangu" (In Jumaa Pumbaa Maharagee Voice)
 
Mwanaume anapiga kazi sana sema hawa wanaojiita wapinzani hawana akili walikuwa anapinga ufisadi saa hizi huwezi ckia wakiliongelia coz wamemkumbatia aliyekuwa fisadi sasa hiv wanaleta polojo zisizokuwa na mantiki hawa kazi yao kuaribu tu co kujenga kuweni sana na hao watu wanaojiita UKAWA hawana lolote
 
hebu jaribu ku comment wanafunzi wa chuo ambao wameteuliwa na vyuo, wamefika kule hakuna kuwa registered bila mkopo kuingia, wamekosa mikopo, ni watoto masikini kabisa wa vijijini, na wameambiwa wajaze upya form wasubiri kwa siku 90 (miezi mitatu) kama watapata mkopo au la, wakati huo, wale watoto wa vigogo na wengine waliobahatika mkopo wanaendelea kusoma, hawa watoto wa masikini kama watabahatika mkopo baada ya miezi mitatu, watawakuta wenzao wameshasoma miezi mitatu. huyo ndiye mtoto wa masikini, just try to comment on this as well.
Sasa huoni kuwa Magu anajaribu kurekebisha uozo uliopikwa na wajombazenu?
 
toeni na suluhisho nini kifanyike.....

If you were in his shoes,what would you do?

Badala ya kunyoosheana vidole, toeni solutions.......

Magufuli ni one of us,he is like us, not a machine

I
 
Harafu tuwaulize waliohitim vyuo, walipe mikopo yao ili watoto wa masikin wanaotegemea maisha ya MKOPO wapate pesa.
walipe mikopo toka kwenye ajira gani mzee? hao viongozi wote unaowaona majukwaani walisomeshwa na nyerere bure, tena walikuwa washamba bush party kuliko hata watoto wa vijijini wa siku hizi wanaojua hata kutumia simu ya nokia. lakini kwasababu wameshapata, wameshasahau walikotoka.
 
Back
Top Bottom