Rais Magufuli, hili kosa lisijirudie!

Rais Magufuli, hili kosa lisijirudie!

Bavicha ni watu waliokata tamaa!

Muwe mnasikiliza hotuba za yule rais wenu tu. Si anazi nyingi tu?

Bila shaka umeukubali udhaifu niliozungumzia!Ukaona ni vema kuhamisha magoli
 
Kwa hiyo kwako wewe vitisho, kejeli na maneno ya hovyo hovyo ndio sahihi sio? Lack of emotional intelligence ni upungufu mkubwa sana kwa huyo shoga yako! Sorry you are not convincing enough.
Ahsante kwa majibu!
 
Eeeeeh wewe husiyependa ya awamu hii, Mbona unayotaka anene huwa ananena wazi kabisa!! Naona kawapiga bonge la bao. Kwa kweli acha awe anasema ukweli kabisaaaa na ndio ukweli huwa hadanganyi Rais wetu mpendwa.

Na juu ya yote unamuonea wivu RC mpya kawaacha ukooooo na pia unawaonea wivu hao

Ha ha ha ha
 
Eeeeeh wewe husiyependa ya awamu hii, naona kawapiga bonge la bao. Kwa kweli acha awe anasema ukweli kabisaaaa na ndio ukweli huwa hadanganyi Rais wetu mpendwa.

Na juu ya yote unamuonea wivu RC mpya kawaacha ukooooo na pia unawaonea wivu hao

Ha ha ha ha
Hueleweki unaongea nini au buku 3 imeingia mapema
 
Eeeeeh wewe husiyependa ya awamu hii, Mbona unayotaka anene huwa ananena wazi kabisa!! Naona kawapiga bonge la bao. Kwa kweli acha awe anasema ukweli kabisaaaa na ndio ukweli huwa hadanganyi Rais wetu mpendwa.

Na juu ya yote unamuonea wivu RC mpya kawaacha ukooooo na pia unawaonea wivu hao

Ha ha ha ha
Tayari ashawaingizia ujinga wake kwenye mind zenu,ona ulichochangia
 
Heshima tele Mkuu!

Mada yako imekaa kihisia sana.Sote tukisema tuandike kwa kuendeshwa na hisia zetu, basi nakuhakikishia kuwa humu kutakuwa genge la kishabiki na si pa kutafakuri na kudodosa mambo kwa weledi unaotakiwa.

Kama ni Maendeleo, basi yataletwa kwa Nguvu za Hoja na si Hoja za Nguvu.Unaposema "Teua watu wakafanye kazi,hivyo vijembe havina maana", ni command na si ushauri kwa huyu uliyemuita JPM.

Tujifunze kuandika kwa Utashi wa kawaida.Ushabiki, hisia, hasira, kulazimishana nk si sahihi.

Mimi naona wewe ndiyo kabisa hujaeleweka tofauti na mleta mada ambaye kwa picha kubwa, ametoa maoni yake tu.....

Na utatoaje maoni bila kuwa na hisia ?

Maana na wewe uko ktk mlengo huo huo ?
 
Back
Top Bottom