Rais Magufuli: Hata kama umekula hela si unyamaze!!

Rais Magufuli: Hata kama umekula hela si unyamaze!!

Magufuli ulipokuwa unapiga makofi kupongeza na kugonga meza kwa ushabiki wakati mkipitisha kuunga mkono kule bungeni, huu ushenzi unao"jifanya " kuuchukia leo, jee ULIKUWA UMERAMBISHWA pesa na BWANA yupi?
Magufuli huna jipya
Povu la nini ?Matusi ya nini?
Mmeishiwa hoja ?

Mod fanya yako hapa
 
huyu bwana akubali gari lishamshinda, maana kila anaye toa ushauri badala auchukue hata kimya kimya yeye maneno yanamponyoka kuwatukan/kejeli na kuwatuhumu.

mfundisheni somo la uvumilivu ndio kwanza asubuhi
 
Wanaropoka ropoka tu neno uzalendo bila hata ya kujua maana yake. Mzalendo hawezi kuwa na tabia za MACCM za wizi, ufisadi, uongo na udikteta uchwara.
Mzalendo hawezi kwenda kuwapigia simu wajumbe wa kamati ili kutafuta umbea!
 
huyu bwana akubali gari lishamshinda, maana kila anaye toa ushauri badala auchukue hata kimya kimya yeye maneno yanamponyoka kuwatukan/kejeli na kuwatuhumu.

mfundisheni somo la uvumilivu ndio kwanza asubuhi
Mliozoea usanii itabidi mumvumilie sana
 
IMG_-xqrsot.jpg
IMG_-xqrsot.jpg
IMG_-xqrsot.jpg
Magufuli ulipokuwa unapiga makofi kupongeza na kugonga meza kwa ushabiki wakati mkipitisha kuunga mkono kule bungeni, huu ushenzi unao"jifanya " kuuchukia leo, jee ULIKUWA UMERAMBISHWA pesa na BWANA yupi?
Magufuli huna jipya
Umenikumbusha hii>
 
Hizi hela wanazopewa hawa watu ni rushwa au? Kama mpaka mkuu anajuwa watu wanapewa hela kwanini asitumie vyomba vya ulinzi tulivyomkabidhi kuwashughulikia hawa watu wanaohonga kila mtu? Haya malalamiko mengine kwa sasa yanachefua.
 
Magufuli ulipokuwa unapiga makofi kupongeza na kugonga meza kwa ushabiki wakati mkipitisha kuunga mkono kule bungeni, huu ushenzi unao"jifanya " kuuchukia leo, jee ULIKUWA UMERAMBISHWA pesa na BWANA yupi?
Magufuli huna jipya
Weka picha
 
"Mtu anasimama,anatoka mapovu,unaweza kujiuliza uzalendo wake uko wapi?,hata kama umekula hela si unyamaze".......John Pombe Magufuli, October 23, 2017

Swali
Ukitofautiana na rais sio mzalendo? Lakini kina Zitto wakati wanapambana na mikataba ya Buzwagi,Rais wakati huo alikuwa wapi. Tuseme alilipwa fedha kunyamaza? Tuvumiliane tubishane kwa hoja na majibu ya nidhamu. Raia kuwaambia wengine wanatoa mapovu sio ustaarabu

Walikua wanaongona kama juzi walivyoongana zile milioni 10.
 
Mliozoea usanii itabidi mumvumilie sana
yaani unahisi wote ni wahenga, ndo tumemaliza vyuo vya kata tena kwa kupata mikopo safiii (labda ndio unaita usanii) now tumekosa kazi (huu ndo unaita hapa kazi tu)

tumejiajiri kwa kuungana na wanaompinga huyu bwana bado inawauma aiseeeeh
 
Yeye mbona kala mahela kibao na nyingine akahonga mahawara zake alipouza nyumba za serikali. Leo ndio anataka kutudanganya kuwa yeye ni mzalendo sana.



Ningependa kukujulisha ya kuwa 'Nissan nyeupe' ndio usafiri wako rasmi.
 
Kipindi kile alichokuwa anasema Nchi inanyemelewa na njaa ilikuwa kweli mfano mdogo ni sisi mkoa wa Mbeya hatujawahi kununua debe la mahindi tshs20000/= mpaka25000/= lakini mwishoni mwa mwaka jana na mwanzoni mwa mwaka huu hali ilikuwa hivyo


Achana na Jinga la chama aka Jingalao.
 
Yeye mwenyewe Mzee wa madili, funika kombe huna la kutudanganya tunajua kila kitu, alipokua akikosana dili na contractor anawafukuza anasingizia hawana vigezo, kivuko kibovu chukua jeshi nisiulizwe mm
 
Hoja ni kula pesa na kutupigia kelele...kwa data za uongo.

Kosoa kwa facts sio kupotosha umma kwa maslahi ya Tumbo lako.

Kumbuka huyu huyu kibaraka ndiye aliyetaka Rais kutangaza baa la njaa kwa data zake za kughushi.

Akiachwa ataendelea...ifike mahala siasa ya uongo uongo ife kabisa nchini.


SWALI KWA MLETA MADA....JE ZITTO ALIVYOITWA MSALITI NA MBOWE ILIMAANISHA MBOWE HAKOSOLEWI??
Na Zito akidhurika tutamuuliza Magufuli, period, maana keshaanza kama alivyofanya kwa Lisu. Siasa ni kuhoji.
Ukweli ni kuwa wewe pia huna data zinazoonyesha kuwa watu hawakufa njaa.
Kwa akili yako potofu unataka kutuambia kuwa Magufuli ndiye ana siasa za ukweli!! "NILIPOINGIA MADARAKANI NILIIKUTA SUKARI INAUZWA SHILINGI 6,000/-.........." Ndiyo siasa ya ukweli na uzalendo hiyo. Mkome kabisa nyie wachimvi. Mteteeni kwa hoja zenye mashiko!!!
 
"Mtu anasimama,anatoka mapovu,unaweza kujiuliza uzalendo wake uko wapi?,hata kama umekula hela si unyamaze".......John Pombe Magufuli, October 23, 2017

Swali
Ukitofautiana na rais sio mzalendo? Lakini kina Zitto wakati wanapambana na mikataba ya Buzwagi,Rais wakati huo alikuwa wapi. Tuseme alilipwa fedha kunyamaza? Tuvumiliane tubishane kwa hoja na majibu ya nidhamu. Raia kuwaambia wengine wanatoa mapovu sio ustaarabu
Ushamba wa mtu hujionesha kwa namna nyingi sana.
 
"Mtu anasimama,anatoka mapovu,unaweza kujiuliza uzalendo wake uko wapi?,hata kama umekula hela si unyamaze".......John Pombe Magufuli, October 23, 2017

Swali
Ukitofautiana na rais sio mzalendo? Lakini kina Zitto wakati wanapambana na mikataba ya Buzwagi,Rais wakati huo alikuwa wapi. Tuseme alilipwa fedha kunyamaza? Tuvumiliane tubishane kwa hoja na majibu ya nidhamu. Raia kuwaambia wengine wanatoa mapovu sio ustaarabu
Zitto aliwekwa kwenye tume ya Madini na Rais Mstaafu Kikwete miaka fulani nyuma. Atuambie alipata mafanikio yapi au ni nini alifanikisha ambacho leo ni zaidi ya alichofanya Magufuli na tume zake? Nadhani Zitto pamoja na mlungula kachanganyikiwa sasa.
 
Back
Top Bottom