funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Hapakuwa na njaa ya extent Rais atangaze baa la njaa..hata kama mtajitoa ufahamu nitawarejesha kwenye mstari.Hapakuwa na njaa? khaaaaa!
Hakianani siasa ni upofu,lakini wewe huo sio ushabiki tu bali wewe nadhani ni shakibiki wa kulipwa.
Nikikumbuka watu walivyoteseka wakamwambia mkulu akadai serikali haina shamba unadhani tumesahau?
Kasome kuhusu mabaa ya njaa ndio utaelewa ninasema nini.