Works both ways makandarasi ni watu sio mbuzi,na sifa za makandarasi mmoja wapo ni expertise. Tanzania inao makandarasi wengi tu,na wenye sifa kwa kazi lakini hawathaminiwi na watu kama wewe.Tumia akili kujibu hoja. Tofautisha watalaamu na wakandarasi wazawa.
Lini hali ya maisha ilikuwa na unafuu kwa mtanzania?Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
Umefanya utafiti kwa kila mtu? Tatizo umemuweka maguMagu kwenye ubongo wako kwamba yeye ndio kikwazo kwakoHongera kwa biashara yako kufanikiwa. Mimi nazungumzia hali ya watanzania kwa ujumla. Sio mtu mmoja kama wewe. Majority sasa hivi hali ni mbaya sana.
Fanya kweli kwenye sanduku la kura kuondoa ugumu huu bila hivyo mtaendelea kumwomba magu na hali itakuwa mbaya zaidi awamu ya mwisho.Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
Idugunde,
Serikali ya CCM ilivyoharibu uchumi wa nchi, usiombe hisani toka kwa CCM bali fanya kweli kupitia sanduku la kura kwa kuchagua chama tofauti na CCM
December 2019
Zitto akiongea na wananchi Akichambua hali ya uchumi kuelekea uchaguzi 2020
Sanduku LA kura kwa tume IPI?
Lockdown ya aina hiyo uliyoielezea hapa ni imagination yenu ya mtaa wa lumumba. Haijawahi kuelezewa au kufanywa na nchi yeyote duniani.
Mkuu jee unataka awape pesa mkononi?Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
kwahiyo kumbe mnavyomsifia mnajikaza tu ? unafiki ni kitu kibaya sana !Hakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
Wewe kumbe unamsifia huku unapata shida sana aisee wewe kenge badilikaHakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda...
Naunga mkono hojaHakuna ubishi kweli unafanya kazi nzuri, kujenga miundo mbinu, zahanati, vituo vya afya na hospitali. Hakuna ubishi umeinyoosha nchi iliyokuwa imepinda.
Ila hali yetu wananchi ni mbaya sana. Tunaamka asubuhi hatujui kama tutakula au vipi. Tukifungua biashara zinakufa, kila tunachojaribu hakiendi.
Hivyo wewe kama mkuu angalia namna ambavyo utalegeza ili mzunguko wa pesa uongezeke mitaani. Sio kwamba hatutaki kazi bali mzunguko wa pesa ni hakuna kabisa.