Aminini ama msiamini Mh Rais hayupo huko mnamtafakarisha. Mkuu wetu yupo bize na maswala ya maendeleo. Kiukweli kabisa kutokana na nidham ya kila taasisi basi kila mtu anawajibika sehem yake tofauti na pale zamani taasisi za umma zilijifanyia mambo hovyohovyo this tm kila mtu anafanya kazi kwa mujibu wa sheria hakuna huruma.
Nini tofauti ya serikali hii na ile iliopita. Serikali iliopita ilikuwa mtu akiadhibiwa na taasisi nyingine alikuwa na uwezo kulalamika ikulu na akapata kaupendekeo au huruma ya juu. This time mkuu tulie nae anataka watu wawajibike kwa yale wanayatenda pasipo kuangalia makunyanzi.
Kiufupi mbele ya serikali hii makosa ni dhambi kubwa na hakuna msamaha. Angalie wale waliokamatwa na dawa za kulevya serikali imeacha washughulikiwe no huruma why wote mwaelewa.
Unajuwa kweli kabisa kunasiku tutajiona wapumbavu maana tunashindwa mtumia huyu rais vizuri. Nataka kuwambia tukiachana na siasa huyu rais is the best of all time. .
Nini tofauti ya serikali hii na ile iliopita. Serikali iliopita ilikuwa mtu akiadhibiwa na taasisi nyingine alikuwa na uwezo kulalamika ikulu na akapata kaupendekeo au huruma ya juu. This time mkuu tulie nae anataka watu wawajibike kwa yale wanayatenda pasipo kuangalia makunyanzi.
Kiufupi mbele ya serikali hii makosa ni dhambi kubwa na hakuna msamaha. Angalie wale waliokamatwa na dawa za kulevya serikali imeacha washughulikiwe no huruma why wote mwaelewa.
Unajuwa kweli kabisa kunasiku tutajiona wapumbavu maana tunashindwa mtumia huyu rais vizuri. Nataka kuwambia tukiachana na siasa huyu rais is the best of all time. .