Rais Magufuli azindua Hostel UDSM; TCU dhibiti lakini Wanafunzi wawe na haki ya kuchagua vyuo

Vitu vingine bwana hadi mabweni anazindua rais,kuna vitu vingine ni vya kufanywa na mawaziri pekee.sasa kama kila kitu anzindua rais mawaziri watakuwa na kazi gani?
Kila siku unaonekana kwenye television khaaaa hii sasa kero.
Rais unatakiwa uadimike kidogo kama shilling,siku watu wakikuona unaongea wapate shauku ya kukuona na kujua naongelea nini??
Kero kwani umelazimishwa kumuangalia? Stesheni za tv si ziko nyingi tu.
 
wana dharau sana hawa jamaa wa tcu ife kabisa tena ikazikwe katikati ya bahari ya hindi ni tasisi yenye ukilitimba wa kila hali mwaka jana pamoja na waziri wao ndalichako kubadili alama za vyuo si sawa kabisa kuna vyuo vili force 2 kupata wanafunzi wasio na sifa ili hali majengo yao yasibaki kapa sasa ngoja tuone mwaka huu mtakua bado mna hiyo jeuri viva magufuli....
tcu ni muhimu sana kwani ilizua mwanafunzi mmoja kuchaguliwa chuo zaid ya kimoja, tofauti na nyuma ambapi mtu mmoja aluchaguliwa hadi vyuo viratu na kusababisha wengine kukosa udahili
Pili, tcu haichagulii vyuo wanafunzi may be vyuo vya hovyo kama st J etc ., lakin UDSM, SUA ,MUHAS hawazhaguliwi na tcu bali huchagua wenyewe na kuwapelekea tcu majina, Kazi yake ni kuhakikisha wanaochaguliwa wanasifa kwa mujibu wa miongozo.
Watu wanatakiwa kujua majukumu ya tcu c kuchagua wanafunzi
 
tcu ni muhimu sana kwani ilizua mwanafunzi mmoja kuchaguliwa chuo zaid ya kimoja, tofauti na nyuma ambapi mtu mmoja aluchaguliwa hadi vyuo viratu na kusababisha wengine kukosa udahili
Pili, tcu haichagulii vyuo wanafunzi may be vyuo vya hovyo kama st J etc ., lakin UDSM, SUA ,MUHAS hawazhaguliwi na tcu bali huchagua wenyewe na kuwapelekea tcu majina, Kazi yake ni kuhakikisha wanaochaguliwa wanasifa kwa mujibu wa miongozo.
Watu wanatakiwa kujua majukumu ya tcu c kuchagua wanafunzi
time will tell the truth...
 
Wiki hii ilikuwa wiki mbaya sana kwa chadema na wapinga maendeleo.
Ilianza na uwekaje wa jiwe la msingi wa reli ya kisasa,ikafuatiwa na hostel za UDSM ambazo bavicha walizipinga sana na hatimae kuweka jiwe la msingi maghorofa ya magomeni kota
Umesahau makonda hospital huko chanika
 
tcu ni muhimu sana kwani ilizua mwanafunzi mmoja kuchaguliwa chuo zaid ya kimoja, tofauti na nyuma ambapi mtu mmoja aluchaguliwa hadi vyuo viratu na kusababisha wengine kukosa udahili
Pili, tcu haichagulii vyuo wanafunzi may be vyuo vya hovyo kama st J etc ., lakin UDSM, SUA ,MUHAS hawazhaguliwi na tcu bali huchagua wenyewe na kuwapelekea tcu majina, Kazi yake ni kuhakikisha wanaochaguliwa wanasifa kwa mujibu wa miongozo.
Watu wanatakiwa kujua majukumu ya tcu c kuchagua wanafunzi
Acha uongo, lazima uchague vyuo vitano kisha utapata kimoja kati ya hivyo, sasa waboreshe mtu awe na uwezo wa kuchagua chuo kimoja tu au viwili basi! Kikawaida haiwezekani mtu kupenda vyuo vitano kwa pamoja, so vingine huwa vinajazwa tu kujaza nafasi na kozi
 
Naona imekuwa kama matangazo ya biashara haina hadhi sasa mara kwa mara Rais na Makonda wanazindua hadi miradi midogo ambayo Mawaziri wake wangewajibika kwa hilo, lo! itafika wakati akisimama kuongea hata jambo la muhimu tutadhani ni uzinduzi tu; haya bwana endelea.
 
Naona imekuwa kama matangazo ya biashara haina hadhi sasa mara kwa mara Rais na Makonda wanazindua hadi miradi midogo ambayo Mawaziri wake wangewajibika kwa hilo, lo! itafika wakati akisimama kuongea hata jambo la muhimu tutadhani ni uzinduzi tu; haya bwana endelea.

Kama ipi?
 
tcu ni muhimu sana kwani ilizua mwanafunzi mmoja kuchaguliwa chuo zaid ya kimoja, tofauti na nyuma ambapi mtu mmoja aluchaguliwa hadi vyuo viratu na kusababisha wengine kukosa udahili
Pili, tcu haichagulii vyuo wanafunzi may be vyuo vya hovyo kama st J etc ., lakin UDSM, SUA ,MUHAS hawazhaguliwi na tcu bali huchagua wenyewe na kuwapelekea tcu majina, Kazi yake ni kuhakikisha wanaochaguliwa wanasifa kwa mujibu wa miongozo.
Watu wanatakiwa kujua majukumu ya tcu c kuchagua wanafunzi
Mkuu sasa unambishia Magu! Magu kasema hivi " Tufikie mahali, TCU iwe mdhibiti lakini watoto wawe na haki ya kuchagua vyuo wanavyovitaka, kuna vyuo vinalazimisha kupata wanafunzi kwa sababu wanapokea mkopo, muwaache wanafunzi wachague vyuo wanavyovitaka, vyuo visivyochaguliwa vife. Nina uhakika mkiwaacha, chuo cha Dar, UDOM, SUA na vyuo vingine vyenye qualification vitapata wanafunzi wengi" Magu mwenyewe kasema hapo kuwa TCU inachagulia watu vyuo hii kwangu ni utaratibu wa hovyo sana watu waachwe wasome vyuo watakavyo na vyuo ndo viamue vinataka watu wa aina gani. By the way hata hilo la uthibiti ubora TCU wamefeli sana tena sana! In fact TCU ilibidi ifumuliwe kabisaaa na ianze upya kabisa! Issue ya kuzuia mtu asipate vyuo viwili ni issue ndogo sana ni software tu inafanya hiyo kazi na infact excel hivyo sioni haja ya TCU kudai eti inazuiaga watu kupata vyuo zaidi ya kimoja as if hiyo ni kazi kubwa saaaaaana.
 
Rais ana chuki sana na sekta binafsi. Badala ya kuwapongeza kwa kuisaidia serikali kuharakisha maendeleo yeye anawakatisha tamaa na kutamani wafe. Huyu ni rais kituko hajawahi kuonekana duniani! TCU ina wasomi wanaojua maana ya mchango wa elimu ndio maana hawakimbilii kufunga vyuo bali wanavipatia muda na kuvisaidia kujiimarisha ili vitoe elimu bora. Kama anaona TCU haifanyi kazi sawasawa basi amweke Bashite aongoze TCU ndiye ataweza kuendana naye.
 
Vitu vingine bwana hadi mabweni anazindua rais,kuna vitu vingine ni vya kufanywa na mawaziri pekee.sasa kama kila kitu anzindua rais mawaziri watakuwa na kazi gani?
Kila siku unaonekana kwenye television khaaaa hii sasa kero.
Rais unatakiwa uadimike kidogo kama shilling,siku watu wakikuona unaongea wapate shauku ya kukuona na kujua naongelea nini??
Watu kama nyie hadimu sana hapa tz
 
Rais ana chuki sana na sekta binafsi. Badala ya kuwapongeza kwa kuisaidia serikali kuharakisha maendeleo yeye anawakatisha tamaa na kutamani wafe. Huyu ni rais kituko hajawahi kuonekana duniani! TCU ina wasomi wanaojua maana ya mchango wa elimu ndio maana hawakimbilii kufunga vyuo bali wanavipatia muda na kuvisaidia kujiimarisha ili vitoe elimu bora. Kama anaona TCU haifanyi kazi sawasawa basi amweke Bashite aongoze TCU ndiye ataweza kuendana naye.
Wewe huna akili.
 
Back
Top Bottom