godfrey Dalali
Member
- Feb 28, 2016
- 42
- 20
Swali ni kwamba atakubali kutoka kwenye taasisi ya kimataifa yenye mshahara mkubwaaaa....... kuja bongoòooo
Tatizo vitini, umetoa mfano mfu kabisa, hivi hujui kuna walimu wa wauguzi wetu kwenye vyuo vya afya inamaana hawawezi kutibu au unamaanisha mwalimu wa sayansi kimu?chukua mwalimu kisha mpeleke hospital akatibu wagonjwa na kisha chukua daktari mpeleke darasani kisha uje uone matokeo yake
Mkuu katika miundo ya kitaasisi kuna kurugenzi maalumu zinazohusika na hizo kazi...Unless niwe sielewi.
Why wahandisi everywhere?
Kwann hapa asingekaa mtu wa masoko na mambo ya biashara za kimataifa?
That is the fierce competation sector.
Mwandisi aende huko kwenye nyundo na misumari.
Anyway ngoja tuone
Kwa jinsi nilivomsikiliza Rais leo, nikijumlisha na matarajio ya kila mtanzania nimemuonea huruma CEO wa ATCL! Ushauri wangu kama umewahi kuwa na kahistoria hata kadogo ka presha tafadhali pumzika! Mkuu wa kaya hataki longolongo hata kdg anataka mzigo wake benki kila mwezi uwe unasoma vzr!