silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,348
- 1,982
Tafadhali usituhusishe watumia kilevi.Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Tafadhali usituhusishe watumia kilevi.Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Mkuu BAK punguza ukali kidogo wata ku- Ben azi suun azi posibo
Katerero habari yake ni balaa asikwambie mziki wake utatamani uucheze kila siku coz its a very tastey unique thing. Shamooo~ooh katerero.ushawai kufanya katerero?
Hivi upo town au bado upo majuu mkuu!Hii si hotuba inayotolewa na kiongozi wa nchi kwa watu wake ambao wamepatwa na maafa. Kuwakejeli kama vile hayo mabaya wao wameyaomba kwa Mungu. Kiongozi anayejitambua kamwe hawezi kutoa hotuba mbovu kama hiyo.
Nylon ziko kwa makusudi hizo coz katerero sio mchezo bila hizo nylon cover magodoro yote si yatalowa ile mambo inasababisha kitu inamwaga maji utadhani bomba la dawasco limepasukaNakumbuka kipindi nipo huko kikazi Bukoba.... I was so so surprised na hayo magodoro hotelini yenye nailoni kabla ya shuka.... Pia yanafanya kitanda kinakuwa cha baridi.... !!!
Wewe. Wewe. We we.Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Tutajuaje mkuu?Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Tulia mkuu, ni utani tu ule..!Itz a shame..a big shame.....kwanza uwatusi wahanga kwa dhihaka kubwakubwa....hivi huyu mtu anafikiri kweli kabla ya kutendah...!!? Kweli wana Kagera waliomba GONJWA la ukimwi kutoka kwa Mungu...!!? Je ni wao waliomba kwa Mungu awaadhibu kwa TETEMEKO.....!!? Mto Ngono umewauliza asili ya neno na maana yake au ndio akili yako Mtukufu ilipo lalia......!!? Nakumbuka umewahi kumnyanyasa kisaikolojia mama aliye ulizia HOBBIE yako ....sasa nimekuelewa....!! Je kijiji cha KATELELO umewauliza wazee wa KAGERA asili ya neno na maana yake...!!?
MAGU.....Mbona wewe unaitwa Pombe (baba wa maasi) na bado ukienda kanisani unapewa baraka...!!?
Magu..watake RADHI wana Kagera....hata kama ni watani wako...utani usiuweke katikati ya MSIBA.....
Mwisho unawadhihaki kwa kuwaambia KAGERA OYEEE...!!?
BILA CHEMBE YA AIBU...Mungu anakuona...!!
Apo ni bwanjai
Inawezekana akawa anatumiaHivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Una hakika hatumii?Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Kwani yeye hana mke ? Kwanini asiijue ?Teh teh Magufuli anaijua katerero.kweli rais tumempata safari hii
Ndo hiyoMana maana yake ni **** au papuchi ni kahaya