kivangaukali
Member
- Jan 8, 2016
- 72
- 26
Ndg yng umeambia usikojoe hapa ww unakojoa kwa kuwa kuna sheria ya kukulinda chini ya uvungu alafu ukikamatwa unasema sheria inasemaje kwenye ukweli tukubaliane ndio maana rwanda imenyooka kwa kusimamia ukweli