Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,978
- 134,104
watu kama nyie hamsomi maoni ya wengine au uelewa wenu ni mdogo.watu hawatetei ufisadi wa Kabwe au uzembe wake,tikisa tena akili pengine ni shake before use.Hoja ni udhalilishaji aliofanyiwa,na nchi hii ina sheria na taratibu za ku-deal na watumishi.Acheni ushabiki nyie kwani yeye Kabwe alipokabidhiwa ofisi hayo hakuyaona. Kwanza anashutumiwa tokea alipokuwa Mwanza. Wengi wape sisi wananchi tumeridhika labda nyie na kituo chenu.