Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #41
Mkuu hili swali ukiwauliza pro Lumumba ni povu tuu linawatokaKwani sheria inasemaje kuhusu namna ya kumfukuza kazi mtuhumiwa ufisadi?
Mkuu hili swali ukiwauliza pro Lumumba ni povu tuu linawatokaKwani sheria inasemaje kuhusu namna ya kumfukuza kazi mtuhumiwa ufisadi?
Kwahio!!?Hii Tanzania ni yetu sote
Hapa Lowassa ametokea wapi? Shirikiasha ubongoWafuasi wa Lowasa hivi bado MNA matumaini? Mafisadi bana! Mna mbinu nyingi za kujilinda.
Sheria nazo zinasemaje?Nchi hii bila kwenda mwendo huu wa Rais wa kutumbua Jipu mahali popote nchi haiwezi kwenda.Anaesema nchi Aitaenda Yeye apishe Watu wapite.
Toa ushahidiHivi lile jengo lilivyo anguka maeneo ya chang'ombe wakati pm ni EL alichukuliwa hatua gani mbele ya kadamnasi
Wilson Kabwe na Anne Kilango wote walikuwa wateule wa raisi (JK & JPM). Wote walikuwa watumishi wa umma.Kwa issue ya Wilson Kebwe, Bi Simba ana hoja lakini kwa Anne Kilango hapana. Anne Kilango sio mtumishi bali kateuliwa na rais kwa hiyo she was serving at the pleasure of the president. Vyeo vinavyongukia kwenye kundi la Anne Kilango wanaweza kuondolea bila hata ya kutoa sababu. Ndivyo ilivyo duniani kote.
Na huyo Kebwe ni kitu gani hakijulikani kuhusu utendaji wake?
Kwa issue ya Wilson Kebwe, Bi Simba ana hoja lakini kwa Anne Kilango hapana. Anne Kilango sio mtumishi bali kateuliwa na rais kwa hiyo she was serving at the pleasure of the president. Vyeo vinavyongukia kwenye kundi la Anne Kilango wanaweza kuondolea bila hata ya kutoa sababu. Ndivyo ilivyo duniani kote.
Na huyo Kebwe ni kitu gani hakijulikani kuhusu utendaji wake?
Naomba nikulizembona kwenye mambo mengine sheria zinafuatwa?Yaan bado watu mnatetea sheria kwenye ukweli acheni ujinga sheria nyingi ziliundwa kutetea wachache tuzipuuze ndio maana tunadai katiba ndio maana magu anapuuza kutetea wengi tumuunge mkono
Mkuu hili swali ukiwauliza pro Lumumba ni povu tuu linawatoka
Hata hivyo namna ya kumsimamisha haikuwa nzuri. Mh raisi anapaswa kuwaheshimu walio chini yake. JPJM amemhukumu Kabwe mbele ya hadhira na katika namna dhalili isiyofaa kwa binadamu yeyote.Ieleweke kuwa Kabwe hajafukuzwa kazi Bali kasimamishwa
We unaumwa. Nyie si mlimpa jina baya mhe Rais aliyepita kwa huruma zake na ucheleweshaji wa kuchukua hatua!Hapa Lowassa ametokea wapi? Shirikiasha ubongo