Leopold Rwegoshora
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 328
- 255
Hivi huyu ni rais.. au...ametuchosha..
Rais Dkt John Pombe Magufuli Ameteuwa Wajumbe Wa Kamati Ya Pili Itakayofanya Uchunguzi Wa Madini Yaliyomo Kwenye Mchanga
[HASHTAG]#HapakaziTu[/HASHTAG]
View attachment 493580
Acha uchochezi mkuu, hakuna udini...Teuzi zote zinazingatia weledi na si dini.....Udini huwepo pale tu waislam wanapokuwa wengi na kukaribia idadi ya wenye nchi yao, hapo ndo unaruhusiwa kuzungumzia udini...Otherwise, chapa kaziHivi mh ndugai ile hoja yake ya dini na hapa inahusika au? Nawaza tu wadau
Anatafuta nae kukimbia udsm kwa nguvu au hujaona kila kukicha kumtetea mkuu wa inchi hata akikosea...chezeka umri unapoelekea kustaafuHivi huko vyuoni wadogo zetu watafundishwa na nani ...nahisi kama vile amebaki Dr. Bana pekee!
UNAZICHOKA LABDA WEWE ULIKUWA UNAFAIDIKA. YAANI KABISA KABISA KUNA WATANZANIA WENZETJ KAMA WEWE UNAONA ANACHOFANYA RAIS JUU YA HUO MCHANGA NI UPUUZI? ILI PESA APELEKE KWA TUMBO LAKE AU? USIMKATISHE TAMAA TUJARIBU KUMPA SUPPOrt yetu. hii itawapa ujumbe kuwa kule ni kugawana kihaki ili nasi tufaidike naye mwekezaji afaidike. IKIISHA HAPA NAOMBA ATUFUATILIE NA GESI NACPIA HUU MKATABA WA KULETA MAFUTA NCHINI BEI SOKO LA DUNIA TUNAONA KWA PIPA INAPUNGUA ILA KWETU INAPAA TU? SASA UHUSIANO KAMA NI MKATABA WA KILA MWEZI SI INGEKUWA INASHUKA NA KUPANDACKADRI YA SOKO LA DUNIA?najikuta habari za Rais nimezichoka kishenzi yaan
Walisahau kuweka jina lako this time mkuu.najikuta habari za Rais nimezichoka kishenzi yaan
Rais Dkt John Pombe Magufuli Ameteuwa Wajumbe Wa Kamati Ya Pili Itakayofanya Uchunguzi Wa Madini Yaliyomo Kwenye Mchanga
[HASHTAG]#HapakaziTu[/HASHTAG]
View attachment 493580
Tatizo sio kupata ushahidi ila issue ni sheria zetu mbovu zinazopitishwa kishabiki, kichama, na wabunge wetu wapendwa tulio waamini.Mkuu wetu anahangaika kweli kwa Tanzania yetu. Lazima kuna kitu amegundua anatafutia ushahidi.
Tusubiri.