Wewe usiwe wa ajabu.Kuwa mjumbe wa tume hakumwondolei mtu ajira au kazi zake.Unadhani waadhiri hufanya kazi ya kufundisha darasani tu? Fahamu kuwa taasisi za elimu ya juu ni pamoja consultation centres, research centres n.kHivi huko vyuoni wadogo zetu watafundishwa na nani ...nahisi kama vile amebaki Dr. Bana pekee!
Bavicha wengi man akili kiduchu.Hausomi ukaelewa lakini kiherehere cha kuchangia hii.Ni hatarii! Kamati mbili kuchunguza suala moja, ni jambo jema kama lengo in kupata ukweli juu ya huo mchanga, nakumbuka aliahidi kuunda na nyingine ya siri yaani zitakuwa kamati tatu kwa ajili ya suala hilohilo, tatizo litakuja kila kamati itakapokuja na majibu tofauti juu ya suala moja hapo MKULU itabidi aunde kamati ya NNE kuchunguza majibu tofauti ya kamati tatu za mwanzo, ni hatarrr!
Soma uelewe wewe Kapeto. Unavyoona habari mtandaoni jiongeze kutafuta undani wake siyo unakukuruka km kwale aliyenaswa na mtegoYa kwanza haijaleta majibu unaunda nyingine
Kwl hapa kazi tu.
Kwani wanaenda kuhubiri huko? Acheni udini, unateuliwa kufuatana na mahitaji.Kuna chombo kimoja cha Ulinzi hamna muislam hata mmoja nasikia kunatokota kwa fitna
Aisee..., ila tumia neno umechoka sio tumechoka. Acha kuchosha wasiochoka!Kweli aseee tumechoka na hao Dr na Prof isipokuwa Dr Banna pekee naona walipishana na mfalme!! Tuechoka sana na tumemchoka sizonje na first lady wa taifa bashite
Hapo ndo upate picha halisi ya hawa watu wanajiita bavicha, hawasomi wakaelewa, wanachangia vitu hata hawajui.Isome uzuri ile barua kutoka ikulu ndugu ungejua nini ukoment
Well saidNdio maana tunasema na kuomba wachunguze hadi punje za mchanga kila kitu kuhusu migodi inayoshutumiwa ili mwisho wa siku tupate jibu sahihi. Majibu haya Yafafnuliwe kwa wananchi kwa ufasaha.
Ile tume ilikuwa haifanyi anachokifanya Rais sasa, Ili ilikuwa inachunguza kuona kama Kusafilisha cupper/gold concentrate ni feasible? na je kwa nini isijengwe hapa. Hii inaenda mbali zaidi ya Concentration za dhahabu au copper, Inapita hadi kwenye mikiataba na sheria, Inaangalia mahesabu yao yanasadifu kile kinachotakiwa kulipwa na mambo mengine lukuki madogo na makubwa. Ndio maana tunasema ikate mzizi wa fitna. Ni aibu Tena aibu kubwa kwa wakazi wa Kahama mjini wengi kuamini chini ya mji wao kuna watu wanaendelea kuchimba wakati shimo la buzwagi linaonekana hadi Googlemap na sio underground.Majibu mazuri yatapunguza haya manung'uniko kwa sababu Uongo umekuwa mwingi kuliko uhalisia.
ndio maana tunasema majibu ya Hizi tume wenda yakaifanya tanzania kuwa na uelewa mkubwa sana juu ya nini kinaendelea huko na kufuta MYTH zote...
Na huyo Bana atakuwa anawafundisha mashudu matupu.Hivi huko vyuoni wadogo zetu watafundishwa na nani ...nahisi kama vile amebaki Dr. Bana pekee!
Naomba kuuliza kiroho safi tu. Hivi Waislam wamemkosea nini Huyu bwana. Note: Mimi ni Mkristo.