Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Aache usanii na yeye, hivi unategemea tume zake hizi zitakuwa huru wakati alishatoa na hitimisho kabisa kuwa watanzania akituambia dhahabu iliyomo kwenye yale makontena tutalia.
Ni wazi Magufuli anaelekea kushindwa sasa, ila kama anashaurika bado ana mda wa kurekebisha mambo.
Nikiona baadhi ya Watanzania wenzetu wanatoa unhelpful comments kama za kwako nabaki najiuliza maswali mengi!! Unataka kutueleza mtaalamu aliye bobea katika fani ya Kemia hajui alisemalo??