pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Magufuli kukaa ikulu ya Arusha nayo mnatoa pongezi!!! Kwani zilijengwa kwa ajili gani? Sifa zingine za kipuuzi kabisa.
Awamu ya nne walikuwa wakitumia mahoteli makubwa na kuingia gharama zisizo za lazima. Issue iko hapo.
MICHUZI BLOG: RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MGOMBEA WA URAIS WA MSUMBIJI IKULU NDOGO YA TANGAwote walizitumi kasoro Kikwete
Unajiita Sensor lakini huwezi ku sense. Kwa leo inatoshaSiasa za maji taka still zimekutawala.
Fisadi ni Yona, Mramba na wale jamaa wawili walifungwa kuhusu EPA nadhani.
Otherwise no other fisadi au labda kwa tafsiri yako fisadi ni mtu aliye above the law in TZ yaani huyo ni untouchable, anafanya lolote na hakuna anayemgusa.
Sasa wewe akija Rais anayekula majalalani na wewe utamsifia tu kisa ni Rais coz watu mlimsifia sana JK akila maisha huko mahotelini sasa JK kukaa ikulu kama inavyotakiwa imekuwa ni kumsifia tena?
Nashindwa kuwaelewa vijana Wa kisasa
mkuu hiyo herufi imebadili maana zima!!!!!Chakaza,taarifa zilizopo ni kwamba State Lodge yetu ya Arusha ilikuwa haitumiki.Raise aliyepita alikuwa akilala kwenye hotel za kifahari na kupoteza fedha za walipa kodi.JPM amekataa utaratibu huo.
Hahahaha sasa Ikulu inatakiwa iwe na matumizi gani mbona wanajiokoteza umaarufuKuna mamtu mapuuzi humu jf,eti anapongeza magufuli kutumia ikulu,sasa angetumia choo ingekuwaje
Siyo kila kitu na-sense, never!!Unajiita Sensor lakini huwezi ku sense. Kwa leo inatosha
Kwani hiyo Ikulu ndogo ilikuwa kwa ajili ya Rais au kufugia mbuzi?
Nyie kuna siku mtamsifia hata akiingia chooni