Rais Magufuli atoa agizo zito kwa Waziri wa Viwanda na Biashara

mamayoyo1

JF-Expert Member
Jul 25, 2018
1,011
1,019


Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa kusimamia wawekezaji wasisumbuliwe katika uwekezaji wa viwanda.

Rais Magufuli pia amewaomba Watendaji ndani ya Serikali kutowasumbua wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini.

"Niwaombe Watendaji ndani ya Serikali tusiwasumbue wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini,Waziri Bashungwa wewe bado kijana kasimamie hili Wawekezaji wasisumbuliwe, katika uwekezaji wa viwanda tutumie teknolojia za kawaida ambazo ni rahisi kwa watu wetu kujifunza," amesema leo Rais Magufuli wakati akizundua kiwanda cha Mohamed Enterprises.

"Viwanda ndio muhimili mkuu wa maendeleo ya uchumi, hakuna Taifa duniani linaloweza kufanya mageuzi ya haraka kiuchumi bila kuendeleza sekta ya viwanda tukiwa na viwanda vya kimkakati kwa mazao ya kimkakati tunaweza kusindika mazao yetu na kuzalisha bidhaa zilizokamilika."
 
Hizi blanket comments bila elaboration zina interpretation tofauti...

Wasisumbuliwe vipi ?, Sababu hao wasumbufu watakwambia wanafanya kazi na usumbufu huo ni kwa mujibu wa sheria..., kwahio huo usumbufu mwingine ambao upo kisheria kama ni usumbufu basi asimamie ufutwe kisheria...
 


Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa kusimamia wawekezaji wasisumbuliwe katika uwekezaji wa viwanda.

Rais Magufuli pia amewaomba Watendaji ndani ya Serikali kutowasumbua wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini.

"Niwaombe Watendaji ndani ya Serikali tusiwasumbue wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini,Waziri Bashungwa wewe bado kijana kasimamie hili Wawekezaji wasisumbuliwe, katika uwekezaji wa viwanda tutumie teknolojia za kawaida ambazo ni rahisi kwa watu wetu kujifunza," amesema leo Rais Magufuli wakati akizundua kiwanda cha Mohamed Enterprises.

"Viwanda ndio muhimili mkuu wa maendeleo ya uchumi, hakuna Taifa duniani linaloweza kufanya mageuzi ya haraka kiuchumi bila kuendeleza sekta ya viwanda tukiwa na viwanda vya kimkakati kwa mazao ya kimkakati tunaweza kusindika mazao yetu na kuzalisha bidhaa zilizokamilika."
Tatizo alichelewa kutoa agizo kama hilo wengi walisha kimbia na wazowa pia wanaogopa kuulizwa chanzo cha mitaji yao
 


Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa kusimamia wawekezaji wasisumbuliwe katika uwekezaji wa viwanda.

Rais Magufuli pia amewaomba Watendaji ndani ya Serikali kutowasumbua wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini.

"Niwaombe Watendaji ndani ya Serikali tusiwasumbue wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini,Waziri Bashungwa wewe bado kijana kasimamie hili Wawekezaji wasisumbuliwe, katika uwekezaji wa viwanda tutumie teknolojia za kawaida ambazo ni rahisi kwa watu wetu kujifunza," amesema leo Rais Magufuli wakati akizundua kiwanda cha Mohamed Enterprises.

"Viwanda ndio muhimili mkuu wa maendeleo ya uchumi, hakuna Taifa duniani linaloweza kufanya mageuzi ya haraka kiuchumi bila kuendeleza sekta ya viwanda tukiwa na viwanda vya kimkakati kwa mazao ya kimkakati tunaweza kusindika mazao yetu na kuzalisha bidhaa zilizokamilika."

Unajua hii wizara haijatulia. Mjifunze kutoka UK, USA, Middle East, Singapore, China, Japan, Hong Kong jinsi ya kuwasaidia wazawa, kuwawezesha.
 


Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa kusimamia wawekezaji wasisumbuliwe katika uwekezaji wa viwanda.

Rais Magufuli pia amewaomba Watendaji ndani ya Serikali kutowasumbua wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini.

"Niwaombe Watendaji ndani ya Serikali tusiwasumbue wafanyabiashara wanaotaka kuwekeza nchini,Waziri Bashungwa wewe bado kijana kasimamie hili Wawekezaji wasisumbuliwe, katika uwekezaji wa viwanda tutumie teknolojia za kawaida ambazo ni rahisi kwa watu wetu kujifunza," amesema leo Rais Magufuli wakati akizundua kiwanda cha Mohamed Enterprises.

"Viwanda ndio muhimili mkuu wa maendeleo ya uchumi, hakuna Taifa duniani linaloweza kufanya mageuzi ya haraka kiuchumi bila kuendeleza sekta ya viwanda tukiwa na viwanda vya kimkakati kwa mazao ya kimkakati tunaweza kusindika mazao yetu na kuzalisha bidhaa zilizokamilika."
Hivi consumer wa bidhaa za viwandani atakuwa nani kama wananchi hawapewi purchasing power?
 
Too late to catch the train, kamsemo kangu kwa kwanza kukajua

Basi tuchukue treni nyingine inayokuja. As long as you live, it is never too late. Just need to catch up.

Kutoa leseni za biashara za ndani na nje, kusajiri kampuni irahisishwe makadirio ya TRA mfano kwa gari za kawaida yapunguzwe. (Not brand new luxury gari). Passport kupata iwe haki kwa kila Mtanzania kama kitambulisho kingine chochote.

Gari za kawaida, pikipiki, baiskeli, mabasi, Lorries, bajaji, trekta za aina zote, sio luxury products.

Ni muhimu, lazima ili kufikia uchumi wa kati ndani ya miaka mitano, biashara kushamiri na kupunguza malalamiko ya watu wengi na kujitegemea kwa kodi zetu.

Tanzania bado inahitaji usafiri: -
wakulima kupeleka mazao sokoni, wafanyabiashara bandarini, Airports, Utalii unaitaji usafiri wa maana. Wagonjwa, wanafunzi wote wanahitaji usafiri. Tunaangalie magari (usafiri) kama ni necessity of life kama chakula, makazi, simu n.k.

Kama zilivyo barabara usafiri ni kiungo muhimu sana kuinua vipato binafsi. Kodi kwa serikali. Kuongeza ajira.

Ukiwa gari milioni tano nchini utapata kodi zaidi ya gari milioni moja, bima, usajiri, nk.

Biashara zitakuwa kwa kasi sana, kuiwezesha Serikali kuongeza mapato yake na kutimiza lengo la kujitegemea kwenye bajeti yetu.
 
Basi tuchukue treni nyingine inayokuja. As long as you live, it is never too late. Just need to catch up.

Kutoa leseni za biashara za ndani na nje, kusajiri kampuni irahisishwe makadirio ya TRA mfano kwa gari za kawaida yapunguzwe. (Not brand new luxury gari). Passport kupata iwe haki kwa kila Mtanzania kama kitambulisho kingine chochote.

Gari za kawaida, pikipiki, baiskeli, mabasi, Lorries, bajaji, trekta za aina zote, sio luxury products.

Ni muhimu, lazima ili kufikia uchumi wa kati ndani ya miaka mitano, biashara kushamiri na kupunguza malalamiko ya watu wengi na kujitegemea kwa kodi zetu.

Tanzania bado inahitaji usafiri: -
wakulima kupeleka mazao sokoni, wafanyabiashara bandarini, Airports, Utalii unaitaji usafiri wa maana. Wagonjwa, wanafunzi wote wanahitaji usafiri. Tunaangalie magari (usafiri) kama ni necessity of life kama chakula, makazi, simu n.k.

Kama zilivyo barabara usafiri ni kiungo muhimu sana kuinua vipato binafsi. Kodi kwa serikali. Kuongeza ajira.

Ukiwa gari milioni tano nchini utapata kodi zaidi ya gari milioni moja, bima, usajiri, nk.

Biashara zitakuwa kwa kasi sana, kuiwezesha Serikali kuongeza mapato yake na kutimiza lengo la kujitegemea kwenye bajeti yetu.

Kweli humu ni kwa GT
 
Back
Top Bottom