si umeona eeeh too defensive.maswali ya papo kwa papo huyu huwa anapatic sana halafu ni mbabe.Ajui ku approach umma, anajibu maswali kibabe sana
si umeona eeeh too defensive.maswali ya papo kwa papo huyu huwa anapatic sana halafu ni mbabe.Ajui ku approach umma, anajibu maswali kibabe sana
baada ya jpm kuanza kwa kasi na sera yake ya hapa kazi tu tayari ameanza kuonyesha kuishiwa na pumzi.
Hii imeonekana leo kufuatia tangazo lake la baraza la mawaziri.
Watanzania hawakutegemea kuona na kusikia majina na sura za mawaziri waliokuwemo kwenye baraza la awamu ya 4 ya rais wa chalinze.
Watanzania tulitegemea jpm aje na sura mpya na tofauti za wachapa kazi wenye kulingana na kasi yake. Hii inaonyesha kwamba magufuli ameanza kushindwa na mfumo wake wa ccm na hasa baada ya kutishwa juzi kwenye kikao cha kamati kuu ya ccm iliyomwonya kwamba anapotumbua majipu lazima kwanza ajiridhishe hilo jipu limekaa kaaje maana kuna majipu mengine yako kwenye sehemu za makalio, sehemu nyeti n.k.
Siamin masikio yangu kusikia jina kama prof. Muhongo aliyeingia kwenye kashfa ya escrow account wakti akiwa waziri wa nishati na madini na karudishwa hapohapo. Mtu kama mwigulu nchemba hangestahili wala kupashwa kurudi kwenye uwaziri kwani yeye pamoja na waziri wake wa fedha inaonyesha walishindwa kusimamia tra na bandari katika kukusanya mapato ya serikali na kwa maana hiyo ni sehemu ya tatizo.
Dk. Mwakyembe pamoja na mbwembwe zake hakuna alichofanya wakti wa kiwete huko bandari na trl ambako kumekutwa madudu lukuki. Hivyo mwakyembe hakustahili kuwemo kwenye baraza hili la jpm.
Kwa mtaji huu inaonekana mambo yatakuwa ni yaleyale ya ccm ni ile ile.
Hakuna mabadiliko ccm.
si umeona eeeh too defensive.maswali ya papo kwa papo huyu huwa anapatic sana halafu ni mbabe.
Afya waziri Ummy Mwalimu
Wanajamvi,
Nimeogopeshwa sana na Mkuu wa Kaya kwa staili ya majibu kwa waandishi wa habari, hali hii nasikitika kuwa ni ishara mbaya kwa uhuru wa habari huko mbeleni.
Mzee amewajibu waandishi kama kwamba waandishi ni maadui hivi badala ya kuwaona kama partners katika kuwahabarisha Watanzania Mustakbali wa nchi yao.
Nimejawa na hofu kwamba isije ikawa ule Uhuru wa habari ambao watanzania tumeufikia na kuuenjoy ukageuka kuwa kizungumkuti katika serikali hii.
Ni vyema Mzee akanong'onezwa kuwa presentation matters, Japo kweli tunahitaji Kazi, lakini "Dignity" ya Stakeholders mbalimbali ikalindwa na kuheshimiwa!