Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

Habari wakuu
Magufuli: Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri.

Kiidadi huu ni mwanzo mzuri wa Serikali kutambua hitaji la kubana matumizi.



Nishati na madini: Waziri ni Muhongo, Naibu


Nadhani uteuzi huu nikujitafutia matatizo na mizogo kama awali na waheshimiwa wabunge!
Prof. Muhongo hana hadhi tena kwa kauli hapo chini na hasa Sakata la Escrow.


[h=3]Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya ...[/h]www.mwananchi.co.tz/...Prof-Muhongo...za-Escrow...


Translate this page
Nov 27, 2014 - Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado ... ilivyochota kiasi kikubwa cha pesa kama malipo ya kazi hiyo tangu ...



Habari: Nape Nnauye

Nape huyu huyu wa Lumumba! kweli Raisi hapa hata kama ulishinikizwa au mapenzi yako basi usingemweka kwenye wizara hii bali ningeshauri umpeleke huku; na huyu umlete huku-mtazamo wangu tu kwa jinsi ninavyowaona kiuwezo na mahitaji ya wizara husika.

Mazingira: Makamba, naibu Makamba


Hapo chini ni vizuri ukawaleta watu toka nje ya Wabunge waliopo-teua mtu safi kuwa Mbunge na mpe Kazi.

Utalii: Waziri bado
Fedha na mipango: Waziri bado,
 
CCM ni ile ile....ohhh ni ile ile....hivi UKAWA huu wimbo hamkuuelewa!? Si mlisema Dkt Magufuli anatekeleza sera zenu? Basi angechukua na nyumbu kadhaa wa huko UKAWA na kuwaweka kwenye baraza lake...Hahaha

Utakuwa una utindio wa ubongo wewe , watu wanapiga kelele JPM kurudisha watu wale wale we unashadadia , sisi wote ni watanzania , tunachotaka kuona ni maendeleo na watu wachapakazi . au nyie ndo wale wenye majipu mnafurahia magonjwa yenu kurudishwa ili yasitumbuliwe

Mark my words , hili baraza halimalizi hata mwaka , JPM analipiga chini
 
Wakuu salama!.

Nimeona majina ya mawaziri wapya ila sijaona jina la Nyalandu na Ridhiwani. Ni kweli hawapo? Au ni macho yangu...
 
Maskini michezo iko taabani bado tunaletewa......tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu....

Uwiii Umeme bei zile zile zitabaki,Mikataba mibovu kwenye Madini maskini mweee.....
 
mkuu acha kulaumu tu.
Umewahi kufanya nao kazi hao watu.
Unajua potentials zao kiutendaji.
Usione mtu anateuliwa au anafika hatua hiyo ukadhani ni upendeleo tu.
Achana na siasa za mitandao.
Vijana kila siku tunaomba tupewe nafasi, kapewa makamba kijana tunalalamika kwa nn...???
Ushauri wangu hebu tuwape nafasi, tupime utendaji wao baada ya kazi sio tupime utendaji kabla ya kazi
wote unaowasema walishapewaga nafasi na wakavurunda... huyo anyejifanya mzalendo kwa kuvaa bendera nje ndani sijaona alichokifanya awamu iliyopita, huyo makamba ndo anajifanya ndo kijana mwenye vision za maana na kujifanya mwenye hekima lakini hamna kitu... alivokuwa mawasiliano amewaacha mitandao kutunyinya vilivyo ... ebu tuache ushabiki wa ki itikad katika mambo ya msingi.... haya huyo nape kapewa habari...nape hafai... haujui ku deliver taarifa kwa public... anajibu kwa nyodo... nakumbuka baada ya ushind wa ccm october, mwandish wa gazet la mwananch alimuuliza swali kuhusu serikali yao mpya.... alichojibu ni kuwa "nendeni mkawaulize UKAWA maana ndo mlikuwa mnawaandika katika magazeti yenu,,, na sisi ndo tushashinda"
 
Back
Top Bottom