mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Sana Jf,
Ni jambo la kupendeza kurudishwa stendi ya Mwenge kwani kilikuwa kiungo muhimu sana kwa wasafiri Wa sehemu nyingi. Kituo hiki ni kizuri kwa biashara, kizuri kwa watu kubana matumizi kulipa nauli nyingi kwa mwendo mfupi. Mfano anayepanda gari la posta makumbusho kama anaenda sayansi lazima aongeze nauli.
Anayetoka boko analipa 750 badala ya 600 zilizokuwa zinaishia Mwenge hivyo kumlazimu kutumia fedha nyingi kwa safari moja. Stand hii ingeungwanishwa na kujenga soko kubwa na zuri ili kuleta mandhari iliyo sahihi, kuliko soko lililopo limebana sana na halina mpangilio.
Hapo parkingi nzuri ikipatikana tayari TARUTA wamepata mapato.
Ni jambo la kupendeza kurudishwa stendi ya Mwenge kwani kilikuwa kiungo muhimu sana kwa wasafiri Wa sehemu nyingi. Kituo hiki ni kizuri kwa biashara, kizuri kwa watu kubana matumizi kulipa nauli nyingi kwa mwendo mfupi. Mfano anayepanda gari la posta makumbusho kama anaenda sayansi lazima aongeze nauli.
Anayetoka boko analipa 750 badala ya 600 zilizokuwa zinaishia Mwenge hivyo kumlazimu kutumia fedha nyingi kwa safari moja. Stand hii ingeungwanishwa na kujenga soko kubwa na zuri ili kuleta mandhari iliyo sahihi, kuliko soko lililopo limebana sana na halina mpangilio.
Hapo parkingi nzuri ikipatikana tayari TARUTA wamepata mapato.