Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,531
Binafsi siamini kama umehama na kuachana nao,,,,,, tunapata shida sana kwasababu hamuaminiki!!!!!!!Niliweka waazi kuwa nimekihama chama cha mashetani.
Binafsi siamini kama umehama na kuachana nao,,,,,, tunapata shida sana kwasababu hamuaminiki!!!!!!!Niliweka waazi kuwa nimekihama chama cha mashetani.
Hata wewe ?! Umesoma namba ngapi hiyo ?!
- Kwakweli tumepata raisi ambae yuko radhi nchi iangamie lakini yeye asifiwe tu.
Wewe hawa.watu wanawaamuru JWTZ kwenda kubangua korosho kwa risasi si kuwatisha wananchi huko..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Jiwe alitamka watabangua kwa menoWewe hawa.watu wanawaamuru JWTZ kwenda kubangua korosho kwa risasi si kuwatisha wananchi huko..
Ukweli kwa maneno mengine ndio unaitwa "hali halisi"?Mafuru ni yule aliyetumbuliwa na JPM akiwa mweka hazina wa taifa kwa sababu ya kusema ukweli clouds 360 juu ya noti kupotea!
-Alisema noti imepotea kwa maamuzi ya serikali kubana matumizi!
-Akasema pesa imepotea baada ya serikali kuzilazimisha taasis kuweka fedha BOT ambako hazizai na wala haziko kwenye mzunguko!
-Akasema serikali kugharamia miradi mikubwa hivyo fedha kwenda nje kunapunguza mzunguko wa ndani!
Wakati akisema hayo,JPM alikuwa akisema waliokuwa wakilalamika juu ya kukosekana kwa noti mtaani ni wapiga dili na wavivu!
Mafuru alipotoka kwenye kipindi alikutana na barua ya kutumbuliwa!!!!!!
JPM:"Msema kweli ni mpenzi wa Mungu"!
Sasa sijui kuna ukweli mwingine unakuwa sio mpenzi wa Mungu!
Mkuu ana tafsiri yake kichwani ya ukweli,sio hii tunayoijua sisi!Ukweli kwa maneno mengine ndio unaitwa "hali halisi"?
Kwani Mungu wake unamjua?Mafuru ni yule aliyetumbuliwa na JPM akiwa mweka hazina wa taifa kwa sababu ya kusema ukweli clouds 360 juu ya noti kupotea!
-Alisema noti imepotea kwa maamuzi ya serikali kubana matumizi!
-Akasema pesa imepotea baada ya serikali kuzilazimisha taasis kuweka fedha BOT ambako hazizai na wala haziko kwenye mzunguko!
-Akasema serikali kugharamia miradi mikubwa hivyo fedha kwenda nje kunapunguza mzunguko wa ndani!
Wakati akisema hayo,JPM alikuwa akisema waliokuwa wakilalamika juu ya kukosekana kwa noti mtaani ni wapiga dili na wavivu!
Mafuru alipotoka kwenye kipindi alikutana na barua ya kutumbuliwa!!!!!!
JPM:"Msema kweli ni mpenzi wa Mungu"!
Sasa sijui kuna ukweli mwingine unakuwa sio mpenzi wa Mungu!
Ameapa kwa kutumia Biblia,hivyo yeye ni mkristu!Na wote wanaoamini katika kristu basi Mungu wao ni mmoja!!!!Kwani Mungu wake unamjua?