Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
- Thread starter
- #41
Sasa kama nchi imepinda ulitaka afanyeje? Ni lazima ainyooshe kwanza halafu ndio aanze k usafiri nje ya nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika vihoja vya Rais Magufuli ni pamoja na hilo la kudai ati akisafiri kwenda nje ya akirudi atakuta watu wameanza kupiga dili!!!! Hiki ni kichekesho. Wewe ulishaona wapi nchi inaendeshwa na mtu mmoja?
Serikali ni mfumo(system) wa watu kwa maana ya Rais, Makamu wake, PM, CJ, CDF, Baraza la Mawaziri na Viongozi wengine kama Timu na vyombo vya dola ndio wanatengeneza Serikali!!! JPM peke yake hawezi kuwadanganya watu kwamba yeye akisafiri kila kitu kinaparaganyika, huu ni uongo wa mchana. State organs zinafanya kazi gani??
Maana kwa lugha hizi kuna Siku Magufuli atawaambia Watanzania kuwa HALALI INABIDI AKESHE maana akilala tu watu wanapiga dili!!!!