Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Asili ya msukuma ni kijicho....hata shuleni tulikuwa nao hapendi kuona ukiwa na mashabiki wengi au kufanikiwa zaidi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Asili ya msukuma ni kijicho....hata shuleni tulikuwa nao hapendi kuona ukiwa na mashabiki wengi au kufanikiwa zaidi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wapi!
Hamna lolote hapo.
Tundu Lissu anajibomoa yeye mwenye pamoja na hicho chama chake kwa kuchochea ukabila.
Na Watanzania watazikataa hizo siasa za kutugawa kimakundi.
Hamuoni tu hata CHADEMA wenzie walivyo kimya kuhusu hizo tuhuma zake?
Ni kwa sababu wanajua ni uzushi tu.
Basi akae mahabusu hadi 2019 ili akitoka ashinde urais kwa asilimia 101. Hakuna haja ya kutetewa na mawakili 21.
Unafikiri kwa kutumia marindaBasi akae mahabusu hadi 2019 ili akitoka ashinde urais kwa asilimia 101. Hakuna haja ya kutetewa na mawakili 21.
Alinyea debe madiba miaka 27 sembuse lissu.wewe kilaza kweli kweliMdanganyeni ili aendelee kunyea debe nyie mnalala na wake zenu nyumbani
Ha ha ha, na bado unajiita mzalendo. Mzalendo wa Ufipa?Inaonekana wewe ndo wale kina Bashite. Mtu atakaaje mahabusu mpaka 2019? Sheria haziruhusu hata kidogo labda kwa uonevu huu wa kipuuzi anaofanya JPM kwa kukiuka KATIBAna SHERIA. Hivi unajua Nelson Mandela alikaa Jela miaka mingapi na baadaye amekuja kuwa Rais wa Kwanza mweusi wa Taifa la Afrika Kusini?
Mwambia JPM atengneze hizo kesi za na ushaidi wa kughushi ili awafunge wapinzani wote lakii ajue kuna siku kibao kitageuka kama ilivyokuwa kwa makaburu..
Mdanganyeni ili aendelee kunyea debe nyie mnalala na wake zenu nyumbani
Ah wapi!
Hamna lolote hapo.
Tundu Lissu anajibomoa yeye mwenye pamoja na hicho chama chake kwa kuchochea ukabila.
Na Watanzania watazikataa hizo siasa za kutugawa kimakundi.
Hamuoni tu hata CHADEMA wenzie walivyo kimya kuhusu hizo tuhuma zake?
Ni kwa sababu wanajua ni uzushi tu.[/QUOT ] magu na lisu nani anachochea utengano katika nchi yetu, hukusikia aliyoyasema Kakonko, au ni ushabiki tu na kutafuta ukuu wa wilaya. Lisu alisema ukweli na ukweli kwa bahati mbaya rais wetu hataki kabisa kuusema
Na kuweka marinda at risk..Mdanganyeni ili aendelee kunyea debe nyie mnalala na wake zenu nyumbani
Lissu anaweza kusimama mahakamani na kujitetea mwenyewe na kushinda kesi.
Amewahi kufanya hivyo na akashinda kesi.
Kaulize punguani wenzio pale Lumumba wakueleze.
Basi akae mahabusu hadi 2019 ili akitoka ashinde urais kwa asilimia 101. Hakuna haja ya kutetewa na mawakili 21.